Akthoo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 998
- 1,015
Tafadhali bwana Dr. nisaidie.
Mtoto wetu ana umri wa Mwaka mmoja na miezi sita sasa hapendi kula chakula chochote zaidi ya kunyonya maziwa ya mama yake. Je kuna njia yeyote ya kumsaidia ili aweze kula kwa sababu hata ukuaji wake (uzito) sasa umekuwa taratibu mno.
Mtoto wetu ana umri wa Mwaka mmoja na miezi sita sasa hapendi kula chakula chochote zaidi ya kunyonya maziwa ya mama yake. Je kuna njia yeyote ya kumsaidia ili aweze kula kwa sababu hata ukuaji wake (uzito) sasa umekuwa taratibu mno.