Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Karibu....ingawa Dengu inatumaliza, lakini hatutakata tama.
nilivyosikia ile habari ya yule doc nikakuwazia daktari wangu uko salama
mungu akulinde uwe na afya njema utuhudumie sie
Karibu....ingawa Dengu inatumaliza, lakini hatutakata tama.
jamaa tunajua huyo ndio mwanao wa kwanza, najua upendo huo umezidi kwakuwa binti amefanana na wewe sana, sasa kuwa makini pia usimkere sana mwenzio....
Hivi wanandoa mnagegedana kwa ratiba?? Basi nisioe coz sitaki ratiba.
nilivyosikia ile habari ya yule doc nikakuwazia daktari wangu uko salama
mungu akulinde uwe na afya njema utuhudumie sie
Kabanga huyu ni wanne, ila wakubwa wote wakiume. Ni kweli amefanana na mimi sana. Hilo lakumkera ndio itabidi kwa kweli nilifanyie kazi
Mimi bora nikose hata mume lakini mtoto ni kila kitu kwangu, having a kid, ni kitu ambacho kina raha na furaha ya pekee...
Twin!!!
sasa mwezio ninao wa5 lakini wote mwanzo mwisho ndio mimi lakini maisha yanasonga....jitahidi!
Hivi wanandoa mnagegedana kwa ratiba?? Basi nisioe coz sitaki ratiba.
Nilishamwambia. Bora afute kauli.
huwa analala saa ngapi....very weird!!
Tatizo sio kulala saa ngapi,,.
nimejikuta nakapa too much attention
kwa kuwa ni too much attention...........ABSOLUTELY ABNORMALSijui kama hii ni normal..
Niko mda sasa kwenye ndoa iliyobarikiwa kwa neema zote kikubwa watoto. Ingawa kuna wakati mwingine napotoka kidogo ila upendo na heshima kwa mke wangu haujawai kupungua.
Mambo yalianza kubadilika pale tulipobarikiwa babygirl, napenda sana watoto wa kike, nimejikuta nakapa too much attention hata mda wa kukaa na mke unapungua. Mke ameanza kulalamika na kwa kweli nashindwa kujizuia.
Nakapenda sana kabinti kangu. Kamebadilisha hata maisha yangu maana siku hizi saa mbili hainikuti nje ya nyumbani kwangu. Sijui kama hii ni normal. Ila nasema ukweli kabisa ninaweza hata nikasahau ratiba ya kumgegeda wife kisa nacheza na haka ka baby. Kana miaka mitatu sasa.
hahahahaha eli unataka kila dakika
teeeh...mambo ya jumapili, jumanne na ijumaa utayawezea wapi...mtu analala na kinguo kilaini afu anakupa ratiba tena..