Kuna bwana mkubwa amenichekesha sana sasa hivi amesema eti "CCM imewaachia CHADEMA washinde Arumeru ili wahisani waendelee kututumia pesa za misaada, kwa sababu ingeshinda tena wahisani wangeanza kuamini kwamba chama tawala kinakandamiza ushindani, kila uchaguzi wanashinda wao tu" kwi kwi kwi!!