bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
- Mtikila amewekwa Rumande kwa kuvunja masharti ya sheria ya dhamana yake na nothing else, nothing to do na kesi ambayo hajahukumiwa, angekua amehukumiwa then kweli tungeelewa kesi ni ya kijinga jinga, na hasa baada ya kuangaalia sheria inasema nini na kumuita Rais wa jamhuri gaidi.
Es!
well said Mkuu FMES!!! kesi ikiwa mahakamni hatuna sababu ya ku-conclude mara upinzani wanafungwa demokrasia iko wapi.... na sidhani ni busara kuanza kulaumu!!!
Mtikila angetimiza masharti ya dhamani basi angetoka asubirie kesi yake na maamuzi ya mahakama.
so far he is still innocent until proved guilt!!