ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,947
- 51,765
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar bwana Abbas Mtevu amewataka wajumbe wenye dhamana ya kupitisha wagombea wa Ubunge na udiwani kupitisha wagombea ambao wanakubalika Kwa Wananchi vinginevyo watawafyeka.
View: https://www.instagram.com/reel/C6j3pk1sNNl/?igsh=MWl5NmNkZnVjcXJuZw==
My Take
Naunga mkono hoja, kimsingi hapa Tanzania hakuna Wapinzani ila ukiona Wapinzani Wameshindwa ujue CCM ilipitisha mgombea ambae hakunaliki kisa wajumbe walivuta mpunga.
View: https://www.instagram.com/reel/C6j3pk1sNNl/?igsh=MWl5NmNkZnVjcXJuZw==
My Take
Naunga mkono hoja, kimsingi hapa Tanzania hakuna Wapinzani ila ukiona Wapinzani Wameshindwa ujue CCM ilipitisha mgombea ambae hakunaliki kisa wajumbe walivuta mpunga.