mugayasida
JF-Expert Member
- Nov 3, 2012
- 480
- 201
Zito kabwe ni mwanasiasa mzuri na mimi nashauri wote yeye na kitila mkumbo waombe radhi kamati kuu ili wasamehewe pia waelekezwe namna bora ya kukisaidia chama maana hata wao ni binadamu na wanakosea..Pia kamati kuu chadema ijitahidi kuwa kama mzazi kuliko mahakama maana tunasafari muhimu sana kuelekea 2015 au 2020 nk hatupendi baadhi wapotezwe katika mawimbi haya..NAWAOMBEA MSAMAHA ZITO KABWE,DR WANGU KITILA MKUMBO NA SAMSONI MWIGAMBA kwa kamati kuu.Pia kamati kuu zungumzieni pia masuala haya yaliyoleta changamoto hizi kama kuna mahali watuhumiwa walikuwa na hoja ifanyiwe kazi.