kuna mutu anaweza kujua soko la Hela za FUFTH MARK,QUEEN ELIZABETH SH5 YENYE TOBO KATIKATI,RUPIA
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.hakuna deal yoyote kwenye hizo fedha ni utapeli tu hapo
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.
kuna mutu anaweza kujua soko la Hela za FUFTH MARK,QUEEN ELIZABETH SH5 YENYE TOBO KATIKATI,RUPIA
nukta. Sina la ziada na wakumbuke shilingi moja ya mwinyi ilivyovuma kutafutwa.
Umeelezea vizuri, yalikukuta niniWakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.