Mteja wa hizi hela za kale

1975

Senior Member
Jul 9, 2009
131
18
kuna mutu anaweza kujua soko la Hela za FUFTH MARK,QUEEN ELIZABETH SH5 YENYE TOBO KATIKATI,RUPIA
 
Nitafute PM tuchonge kma unaztaka rupia nnazo nyingi uje kuwauzia JF!!lolz:baby:
 
hakuna deal yoyote kwenye hizo fedha ni utapeli tu hapo
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.
 
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.

nukta. Sina la ziada na wakumbuke shilingi moja ya mwinyi ilivyovuma kutafutwa.
 
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.

Alaa Kumbe! Kuna Rafiki yangu aliniamia nikisikia au nikizipata nimstue Fasta kwani anajua Soko lake na watu anao From Europe Duh! me nikaona nitazipate hizi! niwe Billionea
 
Makubwa babu yangu anazo kibao mpaka kufuli la 999 na nyie mnasema utapeli nilijua akiuza angeninunulia bugat loh me kuhemwa tu


nayanda.
 
Biashara halisi ambayo inafuata mifumo ya kiuchumi ni ile inayozingatia mabadilishano ya bidhaa (exchange of products). Hivyo biashara kama za hisa/bonds/future/derivatives ni mfani ya uchumi usio halisi kwa sababu haumbatani na mabadilishano ya bidhaa bali ni makaratasi na fedha. Uchumi wa aina hii ni rahisi sana kuvunjika (rejea athari za recession na sasa Eurozone crisis). Kwa mfano masoko ya fedha ya magharibi watu hufanya biashara na kupata fedha bila kuhusisha bidhaa shikika (tangible goods).

Hivyo kimantiki biashara hii ya kununua sarafu haina manufaa kiuchumi inategemea zaidi mshawasha na upashanaji habari wa wahitaji bila kujua kama hizo sarafu zina maan aama thamani yeyote kama bidhaa......kwa ufupi ni vitu visivyokuwa na msingi wala thamani kwa sababu haziko katika kundi la thamani za kale (antiquities)...hivyo biashara haina maana....wala thamani ya fedha (value for money)
 
nukta. Sina la ziada na wakumbuke shilingi moja ya mwinyi ilivyovuma kutafutwa.

Ile ilitengenezwa kwa silva. Masonara ndo walikuwa wakiinunua. Bot waliposhituka jamaa wakawa wamepga bingo. Kama leo una shilinghi ya Mwinyi ya mwaka 1986 ambayo hainaswi na sumaku bado inauzika
 
Wakuu,huo ni utapeli ninaujua vizuri.Mtu anakuwa nazo izo Rupia kadhaa,hela yenye simba,yenye tobo,pasi ya mjerumani etc kisha anafanya matangazo ya kutosha kuwa izo fedha zinatakiwa maala kwa gharama kubwa,habari inaenea bila chanzo kujulikana,wenye tamaa ya utajiri wa haraka haraka wanaanza kuzitafuta hizo hela,yule Tapeli anaanza kuzitoa kidogo kidogo kutumia ma ajenti,watu wanazichangamkia ,zinazunguka na kununuliwa na watu bila kujua anaye zihitaji hasa ni nani,biashara ya mzunguko inaendelea kwa muda mrefu tu,tapeli anzidi kutoa hizo hela au pasi hiyo ya Mjerumani,mwisho wa siku kuna mtu au watu wachache wanajikuta hizo hela zimehamia kwao na anyezitaka hawamjui na mzunguko umeisha,kama ni wajanja watakaa nazo kwa muda fulani watu wasahau kisha nao wanaanzisha mzunguko na maisha yanaendelea na anashikishwa mtu mwingine.LAKINI KIMSINGI IZO HELA AU PASI HAZINA THAMANI YOYOTE NA HAKUNA ANAYEZIHITAJI.Mwenye masikio amesikia.
Umeelezea vizuri, yalikukuta nini
 
Back
Top Bottom