MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #61
Mzee Mtei ameusema ukweli unaoakisi fikra zake.Mzee Edwin Mtei ni mzalendo.
Mzee Mtei ameusema ukweli unaoakisi fikra zake.Mzee Edwin Mtei ni mzalendo.
Na hakuna mwenye jeuri ya kumuita msalitiMzee Mtei ameusema ukweli unaoakisi fikra zake.
Ukizeeka sana akili zinarudi utoto...Mzee Mtei akili zake zimerudi utotoni
Kwa kweli hawawezi kukubali maana kauli ya Mtei ni mtego maana Nyerere hakuwahi kupenda kukosolewa aliwatia ndani kina Gertrude Mwogella,Maberre Marando na wengine wakakimbia nchivnMpaka Mtei kakubali mziki wamebaki vibaraka wa lowassa kina Mmawia Nguruvi3 The Boss Mag3 Matola BAK Salary Slip @YerickoNyerere Ben Saanane idawa
Sarcastic at its best!Tunamfukuza uanachama na ubaba mkwe.
Badala amsifie rais wa mioyo yeye anamsifia rais wa nchi.
Haaaaa haaaa Kwa hiyo kawashika medulla oblongata ama celeberumHoa mpaka aongee Mbowe ndio wataunga mkono bila kufikiri.!
Kwani tatizo la wahariri wa The Guardian on Sunday ni lipi?The Guardian wahariri wao sio Mungu Ni watu pia
...ni ngumi ya mdomo...damu zachuruzika nje na ndani!Hili ni tusi kwa pro chadema
Hayo ni mawazo yake.ila mimi nasema kati ya marais wote huyu ndio hana vision
The Guardian wahariri wao sio Mungu Ni watu pia
Toeni ujinga hapa
Kama Kuna positive actions however few tutasifia lakini kwa huyu dikteta wenu hakuna mengi ya kujisifu
Je hali ya maisha imekuwa bora kwa MTz wa kawida?
Nini cha kujisifu miezi tisa yangu ashike madaraka?
Achemi utani anaposema atawasaidia wanyonge kama Mwalimu Ni kuwatimua UDOM?
Ni kuwapandishia bei ya sukari?
Ni kumpa wadhifa Mrema?
Ni nini?
Acheni mzaha na maisha ya wa Tz na Mhima wenu