kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,214
uwe wewe LisuLisu hana issue usimpe mileage za bure. Ni mmoja wa wanufaika wa IGA
uwe wewe LisuLisu hana issue usimpe mileage za bure. Ni mmoja wa wanufaika wa IGA
Katiba Mpya ndio mwarobaini mkuu lkn Sasa kuipata inabidi watanzania kweli tujitoe kwa nguvu zoteshida ya hawa watu, huwa wanajifanya hawasikii, wanaingia mikataba ya madudu weee, wanajua wanatupoteza ila kwa maslahi yao wanaendelea tu kwa kufumba macho. wakimaliza utawala wao wanapokaribia kufa, wanaandika kitabu halafu wanajuta kwa waliyoyafanya kwamba kweli yale malalamishi tuliyalalamikia wakatudharau tulikuwa sahihi. wanakufa, wanatuachia msala na kizazi kijacho,na hawatakiwi kuwajibishwa. kuna siku sheria ibadilishwe wanyongwe, kwasababu wanajua wanafanya jambo baya lakini wanaendelea kulifanya kwasababu hawawezi kuwajibishwa.
Kweli kabisa ndio maana tunasema mkataba huu unatufunga miguu,mikono na mdomo kwa nini tuukubali? Hv viongozi wetu wamelogwa?..hicho kipengele kimenitatiza sana.
..kama ni lazima kiwepo, basi na sisi tudai kwamba DP wakitaka kuwekeza ktk bandari za Mombasa, Beira, na kwingine kwenye ushindani na bandari yetu tuelezwe / tujulishwe.
Djibout kipendele iko waliwekewa na ilipokuna fursa wakataka kuitumia DP world alizuia. Jamaa wakavunja mkataba, DPW akaenda washitaki. Ipo video kabisa aljazeera inaelezea ilo swala. Ni ajabu kuona wabunge wetu hawaoni. Wao wamekomaa kuona Bint anabonyeza kontena linashuka utafikiri hayo ndio maslahi ya taifaPAMOJA na yote mkuu sidhani kama nchi nyingine alipowekeza huyu DP world Kuna mkataba wa hovo kama huu, kiukweli Hawa waarabu wametudhau sana, hebu fikiri Kuna kipengele kinasema shughuli au fursa zozote za kibandari na maeneo mengine zitakapojitokeza sisi Tanzania tutapaswa kuwajulisha wao hili ni tusi kubwa sana
Tatizo shule halafu anachukulia wale kama ndugu zake kwasababu anajua lugha yao.Hivi kwa nini huyo Bwana Mkubwa amekaa kiya hivyo? Anaacha tu watu wa-discuss badala ya yeye kutolea ufafanuzi??
Mungu ametuona CCM-CHUKUA CHAKO MAPEMA wamesha chukua chao ndiyo maana hwakubali wamesha kula matango poliMimi sio mwanasheria lkn ninatumia akili ya kawaida kuhoji na kutafakari mambo, tunaposema bandari zimeuzwa tuna maanisha kweli, nimeusoma mkataba huu kwa umakini mkubwa. Pamoja na mambo mengine mengi nitajikita katika
maneno muhimu sana yafuatayo:
Intergovernmental agreement (IGA)na Host government agreement (HGA)
Kwa kuzingatia maelezo yaliyopo kwenye mkataba,
Kwamba IGA ni makubaliano ya jumla/ makubwa au mama kati ya nchi na nchi japo sisi tumeingia makubaliano kati JMT na kampuni ya Dubai sijui yanaitwaje haya makubaliano.
HGA ni makubaliano madogo madogo ya miradi yatakayo kuwa ndani au chini ya IGA.
Sasa hoja yangu ni nini hapa?.
IGA hakuna ukomo yaani ni milele mpaka bahari na maziwa yetu yatakapo kauka lkn tunaambiwa HGA kutakuwa na ukomo maana yake ni hata pale HGA zitakapofikia ukomo tutalazimishwa/lazimika kuendelea na Hawa DPW hata wakivurunda, wakishindwa kutimiza masharti kwani hatutakuwa na uwezo wa kusitisha au kuvunja IGA Hivyo tutakuwa mateka WA milele.
Huu ni mkataba wa kilaghai kama Ile walikuwa wanaingia babu zetu kipindi cha utumwa na ukoloni bila kujua, tofauti kwamba Karne hii watawala wetu wanaingia kwa kujua kabisa.
Watanganyika tuamke tumeuzwa!
View attachment 2663427
Kwahiyo CCM hautakuwepo? Kubinafsisha bandari ni moja ya kukosa akili, kukosa mbinu na serikali ni dhaifu. Mkataba wa kishenzy sana.Lisu hana issue usimpe mileage za bure. Ni mmoja wa wanufaika wa IGA
Naunga mkono hojaMimi sio mwanasheria lkn ninatumia akili ya kawaida kuhoji na kutafakari mambo, tunaposema bandari zimeuzwa tuna maanisha kweli, nimeusoma mkataba huu kwa umakini mkubwa. Pamoja na mambo mengine mengi nitajikita katika
maneno muhimu sana yafuatayo:
Intergovernmental agreement (IGA)na Host government agreement (HGA)
Kwa kuzingatia maelezo yaliyopo kwenye mkataba,
Kwamba IGA ni makubaliano ya jumla/ makubwa au mama kati ya nchi na nchi japo sisi tumeingia makubaliano kati JMT na kampuni ya Dubai sijui yanaitwaje haya makubaliano.
HGA ni makubaliano madogo madogo ya miradi yatakayo kuwa ndani au chini ya IGA.
Sasa hoja yangu ni nini hapa?.
IGA hakuna ukomo yaani ni milele mpaka bahari na maziwa yetu yatakapo kauka lkn tunaambiwa HGA kutakuwa na ukomo maana yake ni hata pale HGA zitakapofikia ukomo tutalazimishwa/lazimika kuendelea na Hawa DPW hata wakivurunda, wakishindwa kutimiza masharti kwani hatutakuwa na uwezo wa kusitisha au kuvunja IGA Hivyo tutakuwa mateka WA milele.
Huu ni mkataba wa kilaghai kama Ile walikuwa wanaingia babu zetu kipindi cha utumwa na ukoloni bila kujua, tofauti kwamba Karne hii watawala wetu wanaingia kwa kujua kabisa.
Watanganyika tuamke tumeuzwa!
View attachment 2663427