Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Siku zote siasa za udini, ukabila na ukanda zinaanzishwa na ccm. Lakini hatutorudi nyuma
Mtatiro naye aache ulofa Jimbo la ukonga ndo maana unawekewa Mizengwe na waroho wa madaraka
Mtatiro naye aache ulofa Jimbo la ukonga ndo maana unawekewa Mizengwe na waroho wa madaraka
Hamna Kitu Hapa Ni Saund Tu, Mbowe, Mbatia, Sumaye, Lowasa, Slaa (kama Bado Yu Ukwawa) Nk. Wote Wakaskazn Na Chadema Waliwah Kupendekeza Kaskazini Ijitenge! Inatia Shaka Hapa Ukizingatia Na Sera Zenu Za Majimbo
Huyo anayetaka Itatiro ataje majina ni mpumbavu na rofa,ulishawahi kuona wapi habari kama hiyo ikutajie majina
Siku zote siasa za udini, ukabila na ukanda zinaanzishwa na ccm. Lakini hatutorudi nyuma
Hamna Kitu Hapa Ni Saund Tu, Mbowe, Mbatia, Sumaye, Lowasa, Slaa (kama Bado Yu Ukwawa) Nk. Wote Wakaskazn Na Chadema Waliwah Kupendekeza Kaskazini Ijitenge! Inatia Shaka Hapa Ukizingatia Na Sera Zenu Za Majimbo
Ni rahisi sana kushabikiai siasa za udini na ukabila au ukanda kwa manufaa ya kisiasa kwa kuangalia mwisho wa pua lakini madhara ya ushabiki wa propaganda hizi ni makubwa kuliko vile inavyoweza kudhaniwa,hawa wanasiasa na wapambe wa aina hizi za siasa chafu wanafurahia na kuona wamemshinda au wamepata kete bora lakini hawajui mbegu wanayaopandikiza ina madhara kwa taifa letu, wanaangalia mahitaji yao ya sasa!
Jamani sisi sote ni watanzania tunahitaji Tanzania yenye maelewano, isiyo na chuki wa chembe ya udini na ukabila/ukanda.
Siasa na wanasiasa watapita lakini undugu,mshikamano na umoja wetu sio vitu vya kuchezea kamwe havipiti kama wanasiasa bali ni tunu za kuvusha mbali.
SHIME TUUNGANE BILA KUJALI ITIKADI ZA KISIASA TUKEMEE AINA HII YA PROPAGANDA.
TUKATAEE KWA NGUVU ZETU KUWA SEHEMU YA SIASA HIZI
lakin hata huku mtaani umeingia tunaona wachaga wanajitenga sasa na hii itawaharibia sana... ukanda si mzur hata kidogo
Habari haina mashiko hii, bila kuwasema hao alioongea nao ni upuuzi kuiamini hii habari.