Mtarajiwa wangu simuelewi

Namkunda OG

JF-Expert Member
Nov 17, 2015
827
1,048
Habari wana jamii.

Naomba mnisaidie yapata miaka mitano sasa toka nimekuwa naye kwenye mahusiano na tukapanga kuoana mwaka huu mwez wa 4 huu mpango tuliuweka toka mwaka 2012.

Cha ajabu namuuliza tarehe yakuja nyumban anijibu, nikimtumia SMS hajibu nikipiga simu hapokei na yeye yupo Mbeya me npo Mwanza.

Na hapo nyuma nimekataa wachumba wengi sana kwa ajili yake, nipo njia panda sijui chakufanya, mawazo yenu ni ya muhimu sana.
 
Pole sana.Hapo hakuna mume tena 2012 hadi leo ulitakiwa ushtuke.
Kama hajakuzalisha ni kheri kwako.Ukweli mchungu ni kwamba jamaa hakutaki jiongeze.
 
Habari wana jamii...naomba mnisaidie yapata miaka mitano sasa toka nimekuwa naye kwenye mahusiano na tukapanga kuoana mwaka huu mwez wa 4 huu mpango tuliuweka toka mwaka 2012...cha ajabu namuuliza tarehe yakuja nyumban anijibu...nikimtumia SMS hajibu nikipiga cm hapokei...na yeye yupo mbeya me npo mwanza..na hapo nyuma nimekataa wachumba wengi sana kwa ajili yake....nipo njia panda sijui chakufanya ...mawazo yenu ni yamuhimu sana
Duh ndio ameshakuacha hivyo chukua 50 zako dada
 
Habari wana jamii...naomba mnisaidie yapata miaka mitano sasa toka nimekuwa naye kwenye mahusiano na tukapanga kuoana mwaka huu mwez wa 4 huu mpango tuliuweka toka mwaka 2012...cha ajabu namuuliza tarehe yakuja nyumban anijibu...nikimtumia SMS hajibu nikipiga cm hapokei...na yeye yupo mbeya me npo mwanza..na hapo nyuma nimekataa wachumba wengi sana kwa ajili yake....nipo njia panda sijui chakufanya ...mawazo yenu ni yamuhimu sana
Kwa uelewa wangu mdogo
T seems kuna story behind this na unajaribu kuificha
 
Eeeenh dada siku hizi ukiona mtu haeleweki unapga chini fasta, umri unaenda ati japo mnasema age is just a number
 
Kwahiyo unamlazimisha hata kama kaahirisha?

Ni kawaida kubadili mawazo sio lazima akuoe hata kama anakuona we ni jipu. Suala la kuoana ni la milele, kwanini alazimishe? Tafta wengine ambao hawajaoa kama mimi
 
Pole... Hebu jaribu kujidai ume wrong number ubadilishe sauti sasa
 
Kwahiyo unamlazimisha hata kama kaahirisha?

Ni kawaida kubadili mawazo sio lazima akuoe hata kama anakuona we ni jipu. Suala la kuoana ni la milele, kwanini alazimishe? Tafta wengine ambao hawajaoa kama mimi
Me si mlazimishi ni ahadi tuliyojiwekea kwann? Haivunje na yeye ndo wakwanza ( kanibikili) Mara ya mwisho kuonana Naye mwaka Jana mwez wa 7
 
Back
Top Bottom