Mtanzania wa kwanza kupanda mt evarest - Wilfred Moshi

Mwakalinga Bujo

JF-Expert Member
Oct 22, 2008
2,719
1,440

Wilfred amekuwa mtanzania wa kwanza kuweka historia ya kupanda mlima mrefu kuliko yote duniani.Amefika kileleni leo 19/05/2012 saa 3 asubuhi.

HONGERA SANA BWANA WILFRED MOSHI KWA UJASIRI NA USHUJAA ULIOTUONYESHA KWA WEWE KUTIMIZA NDOTO ZAKO.
Z
 

Attachments

  • header.jpg
    header.jpg
    26.6 KB · Views: 542
Ahsante kwa taarifa mkuu, ila ungenipa maelezo kidogo kuhusu huyo jamaa moshi anapiga kazi wapi au ni mwanafunzi?
 
Ahsante kwa taarifa mkuu, ila ungenipa maelezo kidogo kuhusu huyo jamaa moshi anapiga kazi wapi au ni mwanafunzi?
Huyo jamaa ni Porter mlima kilimanjaro,alionyesha nia yake muda mrefu na akatangaza nia pamoja na kuomba michango.Ila taarifa zisizo rasmi alipata support kubwa kwa watu wasio watanzania husasani dubai.
 

dah mdau naanza kukushusha sasa yaani we unaona sifa ukisikia diamond anatoka wema nn...mi kwa mtazamo wangu baada ya kupanga na kufanikiwa panda mlima kilimanjaro jamaa anajulikana sana kwa wapanda mlima na mimi nadhani ameweka historia nzuri tu kwa watanzania ...we huoni wenzetu wanfikilia kwenda kutembelea mwezini?
 
Anastahili pongezi! Kwani kuna wachagga kibao wanauangaliaga mlima kilimanjaro kutokea kiboriloni au machame ila hawajawahi kuukaribia.
 
Hongera sana bwana Moshi,lakini nimejiuliza iweje historia hii iwekwe leo 2012.,siku zote tulikuwa wapi?,ina maana hatuna interest au ni umaskini ndio kikwazo.
 

Wilfred amekuwa mtanzania wa kwanza kuweka historia ya kupanda mlima mrefu kuliko yote duniani.Amefika kileleni leo 19/05/2012 saa 3 asubuhi.

HONGERA SANA BWANA WILFRED MOSHI KWA UJASIRI NA USHUJAA ULIOTUONYESHA KWA WEWE KUTIMIZA NDOTO ZAKO.
Z

Hongera sana Wilfred Moshi, mwenye taarifa zaidi kuhusu hii safari atuleezee, manake nilisikia hii team ya Wilfred Mosha na wenzie walikuwa na mpango wa kupanda seven summits, yani kila kilele kwenye mabara yote kwenye dunia hii wangefika. Tumpe haki yake Wilfred anastahili lunch ya Ikulu na yule mtalii wetu
 

Wilfred amekuwa mtanzania wa kwanza kuweka historia ya kupanda mlima mrefu kuliko yote duniani.Amefika kileleni leo 19/05/2012 saa 3 asubuhi.

HONGERA SANA BWANA WILFRED MOSHI KWA UJASIRI NA USHUJAA ULIOTUONYESHA KWA WEWE KUTIMIZA NDOTO ZAKO.
Z

Hongera sana Wilfred Moshi, mwenye taarifa zaidi kuhusu hii safari atuleezee, manake nilisikia hii team ya Wilfred Mosha na wenzie walikuwa na mpango wa kupanda seven summits, yani kila kilele kwenye mabara yote kwenye dunia hii wangefika. Tumpe haki yake Wilfred anastahili lunch ya Ikulu na yule mtalii wetu
 
Hongera sana bwana Moshi,lakini nimejiuliza iweje historia hii iwekwe leo 2012.,siku zote tulikuwa wapi?,ina maana hatuna interest au ni umaskini ndio kikwazo.

Kaka haya mambo yanataka investment ndefu ili kuwekeza ndo maana unaambiwa jamaa amewezeshwa na waarabu.....
 

Wilfred amekuwa mtanzania wa kwanza kuweka historia ya kupanda mlima mrefu kuliko yote duniani.Amefika kileleni leo 19/05/2012 saa 3 asubuhi.

HONGERA SANA BWANA WILFRED MOSHI KWA UJASIRI NA USHUJAA ULIOTUONYESHA KWA WEWE KUTIMIZA NDOTO ZAKO.
Z


First Tanzanian to reach the top of Everest !!!!
Wilfred safely reached the top at 9.00am (local time) 19 May 2012.
Will post further information on the Facebook page and Blog as it arrives.
 
Hebu fatilia kwa makini mkuu, watanzania wengi sana wamepanda uwo mlima, maybe useme wa kwanza kujitangaza kuwa kapanda uwo mlima.
Ndo maana hii thread ikaanzishwa ka unamjua mtanzania mwengine...we unafanya mchezo na mlima everest nn tupunguze wivu wa kimaendeleo hautatufikisha popote watanzania
 
Back
Top Bottom