Ngoja kwanza tupate Zanzibar yenye mamlaka kamili, hao wazee tuta deal nao baadae wasitutoe kwenye lengo kuu.
Zanzibar na Tanganyika zenye mamlaka kamili kwanza!
Nadhani bado hujapata kifungua kinywa mama! Hapo ni kuonyesha watu wanajadiliana kutengana wakiwa bado wako chini ya mwamvuli wa muungano, je muungano ukivunjika si itakuwa balaa!?
Sasa wewe nawe wacha kuleta porojo hapo yanazungumzwa ndani ya Muungano au nje ya Muungano? fikiri japo kidogo.
Wewe ndiyo hujielewi kabisa mkuu.usitumie kichwa kama mwavuli,jaribu kufikiri kidogo
hiviiii mimi naomba kuuliza....nikipanda boti pale feri ...nikisema nataka kwenda zanzibar...ntapelekwa wapi? Unguja? Au pemba? Au kuna kasehemu kana ardhi tofauti ambako ndo zanzibar, ahha ebu tusaidiane kidogo hapa.