Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,333
- 9,199
Na hivi tunapenda umbeaumbea.Sisi ndo tunahangaika wao wanajua kila kitu! Unakumbuka ishu ya ESCROW eti wanabishana hela ni za serekali au za naani, hivi unafikiri walikua hawajui wanachofanya?
Na hivi tunapenda umbeaumbea.Sisi ndo tunahangaika wao wanajua kila kitu! Unakumbuka ishu ya ESCROW eti wanabishana hela ni za serekali au za naani, hivi unafikiri walikua hawajui wanachofanya?
Sijui kwanini katolea mfano huo tu tena kwa uchambuuzi yakinifu.Pesa za watu unazithaminisha kwa vyumba vya madarasa na makaa ya mawe!!
Nimesoma nikaishia hapo tu.
Kama ni hivyo i hope kuna cctv huko bankPamoja na kwamba maelezo ya awali ya benki yanakanganya, lakini inawezekana siku alipokwenda kutoa fedha, dirishani, aliitwa na uongozi na akaahidi kurejea siku inayofuata. Lakini hakutokea na hakuna traces. Akapotea. Kama unavyosema, ni mchezo unaohusisha idadi kubwa ya watu wakiwamo maofisa wa benki na hata taasisi
Barclays walishasepa,bank zao wamewaachia ABSANimesoma hapo kwa huyo jamaa wa Nairobi mwenye hiyo kampuni ambayo imethibitika haijasajiliwa Kenya (GR Construction Limited) nime- conclude hao Aga Khan nao wanastahili lawama, haiwezekani wafanye kazi na kampuni isiyosajiliwa, hapa nahisi baadhi ya maofisa wake watakuwa wanahusika na huo mchezo mchafu....
Shilingi bilioni 400 zakombwa Benki ya Barclays na Mtanzania ambaye bado hajakamatwa. Ni wizi ulioshirikisha watu wengi wakiwamo watendaji wa benki.Alieisoma post aifupishe kwa maneno yasiyozidi 20
AsanteShilingi bilioni 400 zakombwa Benki ya Barclays na Mtanzania ambaye bado hajakamatwa. Ni wizi ulioshirikisha watu wengi wakiwamo watendaji wa benki.
KabisaWanaojidai wanaumiza vichwa washakula %yao au ni part ya game. Mtu kama huyo huwezi mhoji halafu umwachie hivihiv at atarudi kwa mahojiano zaidi
CONCLUSION...case closed! 😆
Utakufa kabla haijaisha in case fujo zako zikiishia kwenye kununua magari tu. Ukijimix kununua ndege miaka mitano unakuwa maskini wa kutupwaSasa hela yooooote hiyo utaifanyia nini? Mimi huwa najiulizaga sana!
Chakula changu best ni ugali wa dona na matembele! Hakizidi jero! Toooba?