yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Hayo yalitokea wiki hii pale mtangazaji wa clouds,aka Simba tv alipojipendekeza kwenye kikao cha waandishi wa habari kwenye jengo la klabu ya YANGA.....very nice nawapongeza wanachama wa Yanga kwa kitendo hicho kwa kuwatimua hao wafanyakazi wa simba wanaojifanya waandishi!