Makimuda255
Senior Member
- Jul 31, 2020
- 165
- 286
Kweli vizuri havidumu, huyu dada alivyokuwa beautiful kisu haswaa anyway R.I.P
Nimeitoa kwenye magroup huko
Innalilah wainnaillah rajiun.
Aliyekuwa mtangazaji wa Radio Sauti ya Quran Sakina Juma Mshana amefariki dunia leo, hivi sasa mwili wake umewasili katika msikiti wa Maamur Upanga kwa ajili ya kumswalia. Endelea kufuatilia 102.1 Radio quran kwa taarifa zaidi.
Allah amfutie makosa yake.
Nimeitoa kwenye magroup huko
Innalilah wainnaillah rajiun.
Aliyekuwa mtangazaji wa Radio Sauti ya Quran Sakina Juma Mshana amefariki dunia leo, hivi sasa mwili wake umewasili katika msikiti wa Maamur Upanga kwa ajili ya kumswalia. Endelea kufuatilia 102.1 Radio quran kwa taarifa zaidi.
Allah amfutie makosa yake.