Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Pole sana! Inaweza kuwa allergy kuna kitu unakula usikute kwako kinakuwa sumu. Ungejaribu kuwaona specialist. Kuna rafiki angu mmoja naye alikuwa na tatizo hilo la kila siku anawashwa alihangaika sana hospitali wanampa dawa lakn hakuna nafuu. Baadae ikaja kugundulika ana allergy na mahindi. Toka hapo hajawai kula ugali wala kitu chochote kinachopikwa na mahindi. Na siku akiwa na hamu ya kula ugali basi dawa zake zinakuwa pembeni
Daaah... kunmagonjwa kama hayo dawa ni maombi tu, unaishi vipi bla kula ugali
 
Doctor ikitokea mtu hapati hamu ya kufanya mapenzi wakati yuko single mda mrefu tu je nahitaji tiba???
 
Habari.
Naomba kufahamishwa tiba sahihi ya vidonda vya tumbo. Nimepima hospital nimeambiwa vimesababishwa na bacteria. Nimetumia dawa aina ya omiprason lakin sioni mafanikio.
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.


Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako. Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.

Ugonwa wa Corona (COVID-19)


MPYA: Jinsi ya kujenga kinga ya mwili


Je papai inaweza kuwa na Corona?


Ugonjwa wa Kisukari


Chanjo ya Corona


Kuendelea kupata dondoo za Afya kwa kupitia video, Bofya Hapa: Subscribe
Naomba unisaidiee.... Nina tatizo la kuumwa kiuno.. Hivi kalibu yapata wiki ya 3 toka nianze kusikia maumivu haya ya kiuno. Je ninawez kupata tiba?!
 
Mtoto wangu alizaliwa kabla ya muda alopaswa kuzaliwa. Madaktari walisema yupo sawa hana shida yoyote. Tulikaa hospitali kwa wiki tatu tukaruhusiwa kurudi nyumbani. Awali alikua sawa kabisa na ukuaji wake upo vizuri Sana na sio rahisi mtu kujua Kama alizaliwa njiti ukimwona sasa. Ila baada ya kufikisha miezi minne alianza kukohoa kikohozi kikavu, mwanzoni tulidhani ni kawaida tukaenda hospitali akapewa syrup za kikohozi kikawa kinapoa na baada ya muda kinarudi palepale. Sasa ana miaka miwili na miezi mitano, tumeenda hospitali kubwa Hadi ultera sound zimefanyika wanasema hakuna tatizo. Anaongea, Ni mchangamfu Sana na hana shida nyingine yoyote isipokua hiki kikohozi kikavu na kisichopona. Tumeshapewa dawa nyingi lakini hajawahi pona akaacha kabisa kukohoa.
Hii inaweza kuwa Ni shida gani na nifanye Nini mwanangu aondokane na shida hii.
 
Naomba kuliza dawa ambayo naweza kutumia kwajili ua mba wa kwenye mwili nmeteseka kwa muda mrefu pia dawa nimetumia nyingi sana za kunywa na kupaka pia
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.


Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako. Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.

Ugonwa wa Corona (COVID-19)


MPYA: Jinsi ya kujenga kinga ya mwili


Je papai inaweza kuwa na Corona?


Ugonjwa wa Kisukari


Chanjo ya Corona


Kuendelea kupata dondoo za Afya kwa kupitia video, Bofya Hapa: Subscribe


Habari doctor je kuishiwa damu au kuwa na upungufu wa madini chuma kunaweza kusababisa ushindwe kuhema
 
Nahitaji Dawa ya kutibu kumaliza tatizo la pumu ya kujaa ute ute kwenye njia ya hewa na naomba kujua sababu zinazoelekea mtu kubanwa na pumbu hii mara kwa mara hata asipokuwa kwenye vumbi au Baridi
 
Pole boss,,kama English inapanda mcheki doctor Berg YouTube yuko poa sana kwa ushauri wa maradhi pamoja na tiba lishe. Unaweza kwa kuanza kucha kula sukari pamoja na vinywaji vya viwandani,achana na ngano ya viwandani pamoja na bidhaa zake kama chapati,maandazi,mikate,cakes nk.

Intermittent fasting inakuhu Yani kwa siku uwe na gap kubwa sana ambalo unakaa bila kula,let's say unakula saa 1 asubuhi na saa 9 au kumi alasiri. Baada ya hapo huli kitu chochote isipokuwa maji mpaka asubuhi. Ule muda wa kula 1-9 mchana kula sana matunda ya aina tofauti tofauti plus mboga mboga.

Kitu kingine kama unaweza basi ni kuachana kabisa na mafuta ya kupikia maana nae ni adui mkubwa wa afya yako . Dk Berg anapendekeza mafuta ya nazi au mawese ,olive oil plus batter kuwa ndio salama kwa afya. Pia unaweza tafuta sea moss kwa kiswahili mwani una blend na kutumia asubuhi na jioni.

Life style changes, mabadiliko ya ulaji wa chakula, mazoezi kidogo nk vinaweza kuimarisha sana afya yako mpaka ukashangaa. Kila la heri
 
Habari doctor
Niko kwenye ndoa ya miezi 5 sasa ambapo toka nimeolewa ule mwezi wa kwanza ambao ni wa sita uliisha vyema wa 7 nikawa naumwa umwa sana mara uti nikiitibu inarud tukanywa dawa na mume wangu huo mwezi nikaziona siku zangu siku moja tu nikawa naumwa umwa wa 8 niliziona zikiwa sawa yani siku 3 kama kawaida yake ya nne zinakata mwezi wa 9 nikaziona siku 2 na zilikuwa hazitoke ilivyo kawaida yake ila huo mwezi nikawa naziona dalili kama nikomjamzito na uzito ukaongezeka ghafla ila nikichukua kipimo kupima hakionyeshi ila ninamabadiliko yote uani chuchu nyeus na mstari wa tumboni ninakichefchef napenda vitu vichachu nachoka sana na damu inapungua kila nikipima niko na doz ya juis ya choya kila siku
Nilipiga utrasound nikaambiwa ni uvimbe nisaidie ni kweli ni uvimbe
 
Habari doctor
Niko kwenye ndoa ya miezi 5 sasa ambapo toka nimeolewa ule mwezi wa kwanza ambao ni wa sita uliisha vyema wa 7 nikawa naumwa umwa sana mara uti nikiitibu inarud tukanywa dawa na mume wangu huo mwezi nikaziona siku zangu siku moja tu nikawa naumwa umwa wa 8 niliziona zikiwa sawa yani siku 3 kama kawaida yake ya nne zinakata mwezi wa 9 nikaziona siku 2 na zilikuwa hazitoke ilivyo kawaida yake ila huo mwezi nikawa naziona dalili kama nikomjamzito na uzito ukaongezeka ghafla ila nikichukua kipimo kupima hakionyeshi ila ninamabadiliko yote uani chuchu nyeus na mstari wa tumboni ninakichefchef napenda vitu vichachu nachoka sana na damu inapungua kila nikipima niko na doz ya juis ya choya kila siku
Nilipiga utrasound nikaambiwa ni uvimbe nisaidie ni kweli ni uvimbe

Uliambiwa ni uvimbe wa aina gani?
 
Habari wakuu,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.

Karibuni sana.


Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako. Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.

Ugonwa wa Corona (COVID-19)


MPYA: Jinsi ya kujenga kinga ya mwili


Je papai inaweza kuwa na Corona?


Ugonjwa wa Kisukari


Chanjo ya Corona


Kuendelea kupata dondoo za Afya kwa kupitia video, Bofya Hapa: Subscribe
Habari,
Nna swali moja, Lengo langu nataka uume usisimame, nisitamani mwanamke yyte wala kuzalisha ndani ya kipindi cha miaka kadhaa. Yaani nataka nisiwe na hisia za mapenzi kabisa. Nataka nikimuona mwanamke nione kama mwanaume tu, Je nitumie dawa/ktu gani?
Asante
 
Habari,
Nna swali moja, Lengo langu nataka uume usisimame, nisitamani mwanamke yyte wala kuzalisha ndani ya kipindi cha miaka kadhaa. Yaani nataka nisiwe na hisia za mapenzi kabisa. Nataka nikimuona mwanamke nione kama mwanaume tu, Je nitumie dawa/ktu gani?
Asante
Aisee!
 
Habari Dr.

Mgonjwa ameambiwa kuwa phosphorus imezidi kwenye mwili, je afanyeje au atumie dawa gani ili afya yake irejee upya?
 
Back
Top Bottom