johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,128
Mganga mkuu wa Uingereza ameitangazia dunia kwamba kirusi kipya cha Corona ni kijanja kuliko kile cha delta na kinakwepa mishale ya chanjo.
Mtaalamu huyo amesema jambo la muhimu kwa sasa ni kila binadamu kuchukua tahadhari zote ili kukwepa maambukizi.
Source: BBC Dira ya Dunia
Mtaalamu huyo amesema jambo la muhimu kwa sasa ni kila binadamu kuchukua tahadhari zote ili kukwepa maambukizi.
Source: BBC Dira ya Dunia