DOKEZO Mswahili, Lango la Jiji la Mwanza linalotoa harufu ya Uozo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Torra Siabba

Senior Member
Jul 24, 2016
105
102
Mwanza ni Jiji la pili Tanzania linalokua kwa kasi kutokana na Wingi wa watu na miradi mikubwa ya kimkakati ambayo imejengwa kwenye jiji hilo, Lakini mbaya zaidi ni kwamba takribani mikoa yote ya Tanzania ukiacha mkoa wa Mara huingia Mwanza kupitia njia kuu ya Shinyanga, kisha Buhongwa na Baadae Mwanza mjini.

Kwa wale wazoefu wakati unakaribia kuingia Mwanza mjini kuna eneo linaitwa "MSWAHILI" ni eneo maarufu la kuuza gadaa wabichi mida ya Asubuhi.

Eneo hili kiukweli limekuwa kero kwakua linatoa harufu mbaya na Uozo kutokana na wananchi kuanika Uduvi ambao hutumika kama chakula cha Kuku, sasa Ardhi ya eneo hilo imeshakua sugu kiasi kwamba ukifika eneo hilo la Mswahili Harufu utakayokutana nayo ni kali sana kiasi kwamba unamuomba Mungu mharakishe kupita ili harufu hiyo iwapite maana ni kali mno.

Hivyo kwa Kujali maslahi ya jiji kubwa kama Mwanza serikali ya jiji hilo inatakiwa kuhamisha shughuli za kuanika huo Uduvi eneo hilo ili Harufu hiyo isiwepo maana kwa hali ilivyo sasa utadhani kuna Mizoga imefufuliwa.

821decc5-5149-4da6-b291-2fac032bbda5.jpg

Mitaa ya Mswahili
bb5db773-eaea-4822-8707-ba898bab56c4.jpg

============

TAMKO LA MAMLAKA
Mkurugenzi wa Jiji Mwanza, Yahya Sekiete amesema "Kwanza eneo hilo linatumiwa hasa majira ya asubuhi kama sehemu ya kupokelea dagaa, lakini dagaa wanapokuwepo popote pale harufu haikosekani.

"Pia Mwalo unasaidia wananchi wetu wa hali ya chini ambao ndio asilimia kubwa wanaofanya biashara eneo hilo, lakini Serikali ina mradi wa kujenga soko kubwa la kimkakati, mradi utakapokamilika automatic huo Mwalo wa Mswahili utaisha.

"Kuhusu masuala ya usafi wa eneo hilo, nitafika eneo la tukio ili kufanya ziara kuona kama kuna mazingira ambayo ni machafu na yanakiuka afya."
 
Kwaiyo unashauri nini kifanyike?
Kwanza Wanaoanika huo Uduvi wahamishwe, watafutiwe eneo nje ya pale maana sio lazima kufanyia kazi hapo, maana unapotengeneza mji kuna Mambo yanapaswa kuwa ya Lazima ikiwemo Usafi ndio maana kwa Nchi ndogo ambazo wameamua Mfano kama Rwanda takataka ni jinai hivyo lazima Mamlaka zisimamie kuona eneo lile linakua safi na Harufu tunaepukana nayo..
 
Kwaiyo unashauri nini kifanyike?
Kwanza Wanaoanika huo Uduvi wahamishwe, watafutiwe eneo nje ya pale maana sio lazima kufanyia kazi hapo, maana unapotengeneza mji kuna Mambo yanapaswa kuwa ya Lazima ikiwemo Usafi ndio maana kwa Nchi ndogo ambazo wameamua Mfano kama Rwanda takataka ni jinai hivyo lazima Mamlaka zisimamie kuona eneo lile linakua safi na Harufu tunaepukana nayo
Lango la jiji ni buhongwa sio mswahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Buhongwa si Iko Wilaya ya Misungwi😃😃
 
Kwanza Wanaoanika huo Uduvi wahamishwe, watafutiwe eneo nje ya pale maana sio lazima kufanyia kazi hapo, maana unapotengeneza mji kuna Mambo yanapaswa kuwa ya Lazima ikiwemo Usafi ndio maana kwa Nchi ndogo ambazo wameamua Mfano kama Rwanda takataka ni jinai hivyo lazima Mamlaka zisimamie kuona eneo lile linakua safi na Harufu tunaepukana nayo

Buhongwa si Iko Wilaya ya Misungwi
Kumbe huna uelewa na unapokaa ..Kwa hyo hata kusema mwanza mjini inaanzia mswahili au. . ...kwamba butimba, mkuyuni, nyegezi,mkolani zipo nje ya jiji

By the way jiji(city).kiutawala inaanzia buhongwa,lakini pia unaanzia Usagara Kwa maana ya mwingiliano wa shughuli za kijamii na kiuchumi
 
Mwanza ni Jiji la pili Tanzania linalokua kwa kasi kutokana na Wingi wa watu na miradi mikubwa ya kimkakati ambayo imejengwa kwenye jiji hilo, Lakini mbaya zaidi ni kwamba takribani mikoa yote ya Tanzania ukiacha mkoa wa Mara huingia Mwanza kupitia njia kuu ya Shinyanga, kisha Buhongwa na Baadae Mwanza mjini.

Kwa wale wazoefu wakati unakaribia kuingia Mwanza mjini kuna eneo linaitwa "MSWAHILI" ni eneo maarufu la kuuza gadaa wabichi mida ya Asubuhi.

Eneo hili kiukweli limekuwa kero kwakua linatoa harufu mbaya na Uozo kutokana na wananchi kuanika Uduvi ambao hutumika kama chakula cha Kuku, sasa Ardhi ya eneo hilo imeshakua sugu kiasi kwamba ukifika eneo hilo la Mswahili Harufu utakayokutana nayo ni kali sana kiasi kwamba unamuomba Mungu mharakishe kupita ili harufu hiyo iwapite maana ni kali mno.

Hivyo kwa Kujali maslahi ya jiji kubwa kama Mwanza serikali ya jiji hilo inatakiwa kuhamisha shughuli za kuanika huo Uduvi eneo hilo ili Harufu hiyo isiwepo maana kwa hali ilivyo sasa utadhani kuna Mizoga imefufuliwa.

View attachment 2562714
Mitaa ya Mswahili
View attachment 2562715
============

TAMKO LA MAMLAKA
Mkurugenzi wa Jiji Mwanza, Yahya Sekiete amesema "Kwanza eneo hilo linatumiwa hasa majira ya asubuhi kama sehemu ya kupokelea dagaa, lakini dagaa wanapokuwepo popote pale harufu haikosekani.

"Pia Mwalo unasaidia wananchi wetu wa hali ya chini ambao ndio asilimia kubwa wanaofanya biashara eneo hilo, lakini Serikali ina mradi wa kujenga soko kubwa la kimkakati, mradi utakapokamilika automatic huo Mwalo wa Mswahili utaisha.

"Kuhusu masuala ya usafi wa eneo hilo, nitafika eneo la tukio ili kufanya ziara kuona kama kuna mazingira ambayo ni machafu na yanakiuka afya."
Hicho ndio kitambulisho cha hilo eneo sasa. Pakirekebishwa wageni watapotea. Ni kama pale Tandale kwa Tumbo,bichi kunuka. Huna haja ya kuambiwa umefika,fleva tu inakustua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom