Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi la Kampuni ya Nagi Investment linalofanya safari zake kati ya mkoa wa Zambezia, Quelimane kwenda mkoa wa Sofala, Beira, limepata ajali ya kupinduka na kuua watu wanne nchini Msumbiji.
Taarifa zilizoripotiwa zikieleza chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva wa basi hilo aina ya Zhongtong Climber.
Kampuni ya Nagi Investment inamilikiwa na Mtanzania aliyefanya uwekezaji nchi jirani ya Msumbiji.
Taarifa zilizoripotiwa zikieleza chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa dereva wa basi hilo aina ya Zhongtong Climber.
Kampuni ya Nagi Investment inamilikiwa na Mtanzania aliyefanya uwekezaji nchi jirani ya Msumbiji.