saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Rais Mstaafu Kikwete anamwambia Rais Samia kwamba kwenye utawala wake hakukubali upuuzi Lakini watanzania wote bado tunakumbuka nchi alivyoitumbukiza kwenye matatizo mengi kama uendeshaji duni wa chama na Serikali mpaka ikafikia hatua hatua ya KUJIVUA GAMBA ili kuinusuru CCM.
Nchi iliingia mikataba mingi mibovu kama Richmond, IPTL, Bandari ya Bagamoyo na Escrow mbayo ilisababisha hasara kubwa kwa nchi yetu lakini pia tunakumbuka bandari ya Dar es Salaam JK alivyoikabidhi kwa GSM hadi kusababisha mfarakano mkubwa na wafanyabiashara hadi watu kumwagiwa tindikali..
Leo Mzee Kikwete amesahau yote hayo kwa kiburi cha anatamka hadharani kwamba jkwenye utawala wake hakukubali upuuzi huo.
Nchi iliingia mikataba mingi mibovu kama Richmond, IPTL, Bandari ya Bagamoyo na Escrow mbayo ilisababisha hasara kubwa kwa nchi yetu lakini pia tunakumbuka bandari ya Dar es Salaam JK alivyoikabidhi kwa GSM hadi kusababisha mfarakano mkubwa na wafanyabiashara hadi watu kumwagiwa tindikali..
Leo Mzee Kikwete amesahau yote hayo kwa kiburi cha anatamka hadharani kwamba jkwenye utawala wake hakukubali upuuzi huo.