Msimamo wangu

kwa kifupi hapo umeongelea wazee wa zamani na kizazi cha sasa.... mambo yamebadilika, tabia na maadili mostly ni kwenu, sa hizi kitu cha kwanza ni general look, watu hawataki kutembea na vituko... tutawatambulishaje kwenye bussiness meeting zetu, pale hawataulizia tabia, the way you look wao wataconclude....

changes are inevitable....
Mkuu, maisha ya ndoa ni kitu tofauti kabisa na hizo looks, kufurahisha ''wazee'' wenzako kwenye business meetings n.k. Angalia mbali zaidi na utaona mke bora anakuwaje, pamoja na kuwa wengi tunaangalia mwonekano, kuna vit va msingi sana zaidi ya mwonekano ambavyo ndio vinashikilia ndoa...
 
Dear atoto, Asante sana, Am humbled!!!
Nikushukuru wewe kwa kuchokoza mada.. nimejifunza vingi sana, pia namna watu wengi wanavyolichukulia hili swala.

Uwe na wakati mwema.

these minds kwakweli zilinipa picha fulani kuwa wanaume huangalia womans looks zaid ktk kudefine wife material, so to them haijalishi mwamamke ana tabia zipi as long as ni wazuri kwa vigezo walivyoviongelea its okey with them, na hii ni sababu kubwa iliyopelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro mingi au kuvunjika kabisa, camooon men a 'wife' ni zaidi ya looks, ila pia nawashukuru Nyani Ngabu Kim nana Tized akohi Ngalikihinja Eli79 na wengine waliotoa michango yao iliyoonyesha ukomavu wa kifikra na kuonyesha wana uelewa wa hali ya juu juu ya haya masuala kwa ujumla, na wale mlotukana pia nashukuru kwani mmeonyesha ukomavu wenu(lol)
 
Last edited by a moderator:
Dear atoto, Asante sana, Am humbled!!!
Nikushukuru wewe kwa kuchokoza mada.. nimejifunza vingi sana, pia namna watu wengi wanavyolichukulia hili swala.

Uwe na wakati mwema.

U need to be strong!!!
 
Last edited by a moderator:
these minds kwakweli zilinipa picha fulani kuwa wanaume huangalia womans looks zaid ktk kudefine wife material, so to them haijalishi mwamamke ana tabia zipi as long as ni wazuri kwa vigezo walivyoviongelea its okey with them, na hii ni sababu kubwa iliyopelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro mingi au kuvunjika kabisa, camooon men a 'wife' ni zaidi ya looks, ila pia nawashukuru Nyani Ngabu Kim nana Tized akohi Ngalikihinja Eli79 na wengine waliotoa michango yao iliyoonyesha ukomavu wa kifikra na kuonyesha wana uelewa wa hali ya juu juu ya haya masuala kwa ujumla, na wale mlotukana pia nashukuru kwani mmeonyesha ukomavu wenu(lol)

You are welcome atoto......though sina ukomavu kihiiivyo kama hao ndugu wengine.
Ila mada ilikuwa hot, tumejua wanaume wanatarajia nini kutoka kwa mwanamke....
 
Last edited by a moderator:
Nukuu yangu....1-mwanamke kama wewe ntakutumia ka big jii.
2.kama mzuri sana utakuwa hawara ila siwezi kukuowa
3.ntakuzalisha kama mpemba ilikukuchakaza...kama unavyo tumia noti zangu
4.ntakupa kila kitu ila sio penzi la dhati...maana najua unapenda walet yangu
5.sitakujulisha chochote kuhusu mali au biashara zangu
 
Dear atoto, Asante sana, Am humbled!!!
Nikushukuru wewe kwa kuchokoza mada.. nimejifunza vingi sana, pia namna watu wengi wanavyolichukulia hili swala.

Uwe na wakati mwema.

Yes and that was ma intention, so nimejifunza mengi pia kutokana na mitazamo mbalimbli ya watu juu ya hili suala as its true kuna baadhi ya wanawake ambao ndivyo wanavyoishi.
 
Last edited by a moderator:
You are welcome atoto......though sina ukomavu kihiiivyo kama hao ndugu wengine.
Ila mada ilikuwa hot, tumejua wanaume wanatarajia nini kutoka kwa mwanamke....

pamoja na hilo ulitoa mchango ambao ulivuta makini yangu so to me niliona una ukomavu kwa kiac fulani juu ya haya masuala
 
Last edited by a moderator:
Nukuu yangu....1-mwanamke kama wewe ntakutumia ka big jii.
2.kama mzuri sana utakuwa hawara ila siwezi kukuowa
3.ntakuzalisha kama mpemba ilikukuchakaza...kama unavyo tumia noti zangu
4.ntakupa kila kitu ila sio penzi la dhati...maana najua unapenda walet yangu
5.sitakujulisha chochote kuhusu mali au biashara zangu


wacha weee!!! these minds jamani! hv unapomzalisha watoto wengi unakuwa umemkomoa mwanamke eeeh??? na wanao je!??
 
wacha weee!!! these minds jamani! hv unapomzalisha watoto wengi unakuwa umemkomoa mwanamke eeeh??? na wanao je!??

na unavyo kuwa selfish unanikomoa mimi au maendeleo....hahaha yani we nakufanya chombo cha kufetua watoto haina shida ntawaudumia wanangu.ila na wewe lazima ufubae.kama unavyo nichakaza mfukoni.natena nikiwa na kirusi ndo sifikirii kukusambazia kama nnavyo kusambazia dolariiii
 
Mkuu, maisha ya ndoa ni kitu tofauti kabisa na hizo looks, kufurahisha ''wazee'' wenzako kwenye business meetings n.k. Angalia mbali zaidi na utaona mke bora anakuwaje, pamoja na kuwa wengi tunaangalia mwonekano, kuna vit va msingi sana zaidi ya mwonekano ambavyo ndio vinashikilia ndoa...


Na kwa mitazamo hiyo yaani c ajabu ndoa kudumu mwezi ikavunjika na watu kuishia kulaumiana, si kila mwanamke ni "mke" jamani(my mom once told me)
 
na unavyo kuwa selfish unanikomoa mimi au maendeleo....hahaha yani we nakufanya chombo cha kufetua watoto haina shida ntawaudumia wanangu.ila na wewe lazima ufubae.kama unavyo nichakaza mfukoni.natena nikiwa na kirusi ndo sifikirii kukusambazia kama nnavyo kusambazia dolariiii

kila la kheri ktk hilo
 
Siupingi Msimamo Wako Ila Lazima Uwe Na Bahati Ya Kumpata Mume Mwenye Kuusuport Huo Msimamo.
 
Back
Top Bottom