ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,653
- 90,103
Mkuu, maisha ya ndoa ni kitu tofauti kabisa na hizo looks, kufurahisha ''wazee'' wenzako kwenye business meetings n.k. Angalia mbali zaidi na utaona mke bora anakuwaje, pamoja na kuwa wengi tunaangalia mwonekano, kuna vit va msingi sana zaidi ya mwonekano ambavyo ndio vinashikilia ndoa...kwa kifupi hapo umeongelea wazee wa zamani na kizazi cha sasa.... mambo yamebadilika, tabia na maadili mostly ni kwenu, sa hizi kitu cha kwanza ni general look, watu hawataki kutembea na vituko... tutawatambulishaje kwenye bussiness meeting zetu, pale hawataulizia tabia, the way you look wao wataconclude....
changes are inevitable....