hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 2,893
- 5,833
Tnahitaji points 8 ambazo ni michezo mitatu tunyanyue ndoo.Anahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabu
Tnahitaji points 8 ambazo ni michezo mitatu tunyanyue ndoo.Anahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabu
Point tisaAnahitaji points ngapi ktk hizi mechi afunge hesabu
Point 6 tuTnahitaji points 8 ambazo ni michezo mitatu tunyanyue ndoo.
Point 6 tu
Mechi 2 zijazo anatangazwa
Nimemaanisha kuwa kimahesabu Azam ana point 54 huku akiwa na michezo 6 ambazo sawa na point 18. Ukijumlisha na alizo nazo saivi inakuwa point 72.. Yanga ili atangaze ubingwa wanahitaji kufikisha point 73 ambazo haziwezi kufikiwa na yeyote yule. Kwasasa Yanga ina point 65 hivyo ili kupata point 73 inabidi apate point 9 sawa na michezo mitatu.
Ikitokea Azam wakapata sare au kufungwa kwenye michezo yao, ndivyo itakavyoirahisishia Yanga safari ya ubingwa kwavile hawatohitaji tena point 73 ndio watangaze ubingwa.
Point 6 ni endapo Azam atadondosha point. Ila kama hatodondosha point kwenye mechi zake maanake itamuhitaji Yanga ashinde mechi tatu mfululizo ndio atamaliza shughuli kwa kufanya asiweze kufikiwa point na yeyote yule.Point 6 tu
Mechi 2 zijazo anatangazwa
Ligi bado waendelee kukazaPoint 6 ni endapo Azam atadondosha point. Ila kama hatodondosha point kwenye mechi zake maanake itamuhitaji Yanga ashinde mechi tatu mfululizo ndio atamaliza shughuli kwa kufanya asiweze kufikiwa point na yeyote yule.
Hili kweli ada ilienda bureNgoja tumsaidie hasibu la amazon college kuweka msimamo wa ligi.
Hasibu OKW BOBAN SUNZU timu lako liko nafasi ya ngapi?
View attachment 2981648
Kihasibu hii inaitwaje?View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Huyu ajifunze kuiheshimu Yanga. Ana bahati mbaya sana na Yanga na ana gundu kali sana.Huu uzi ni swala la muda tu unakuja kuumbuka. Umeshaitia doa timu yako hapo
Mimi wa kwanza wewe wa tatu 😂😁😁View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Sasa hivi nani bingwa 😂😁unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)View attachment 2773312
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaahhhj mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa tunasubiria tena msimamo.View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)
Umepotelea wapi muhasibu?View attachment 2773305
Yanga mnaendeleaje. Nimeambiwa mna unbeaten 4 kasoro moja(unbeaten kasoro Ihefu)