Pamoja na majonzi bado watz wanahitaji kujua ulimwenguni kunaendelea nini.Nimepita kwenye mabaa kuna watz wanapata kinywaji tu hawajali hata kuna msiba.Zipo sherehe na vikao vya harusi.Majonzi siyo kwenye vyombo vya habari tu.Taarifa imetokea Clouds Media makao makuu Dar es salaam ambapo vyombo vyake vya CloudsFM, ChoiceFM, CloudsTV havitorusha vipindi vyake kama ilivyozoeleka kila siku.
Sababu kubwa za kufanya hivyo kuanzia leo Jumapili mpaka Jumanne usiku ni kuungana na Watanzania kuomboleza vifo vya watu 32 wakiwemo Wanafunzi 29 ambao wamepoteza maisha kwenye ajali ya Basi dogo la Shule Karatu Arusha.
Wewe je.Mbona huombolezi?EFM nao tangia alfajiri ya Leo wanaomboleza na nyimbo za dini na za kuomboleza big up Clouds Media na Efm
daladala zilizochoka ndio zinageuzwa school bus
Uko sahihi mkuu.....ndio tunamsiba mkubwa japo sio msiba wa kitaifa....Lakini haimaanishi kila kitu kisimame eti sababu ya maombolezo.Pamoja na majonzi bado watz wanahitaji kujua ulimwenguni kunaendelea nini.Nimepita kwenye mabaa kuna watz wanapata kinywaji tu hawajali hata kuna msiba.Zipo sherehe na vikao vya harusi.Majonzi siyo kwenye vyombo vya habari tu.
Shangaa wewe!tena mmeshawageuka