Msiba wa Regia Mtema umedhihirisha kuwa siasa siyo ugomvi wala chuki

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
View attachment 45554

Ushiriki wa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi na Viongozi na wanachama wa chama hicho katika msiba wa marehemu Rejia Mtema umethibitisha kwamba siasa si ugomvi wala chuzi.

Nimehudhuria kuagwa kwa mara ya mwisho mwili wa marehemu Rejia Mtema katika viwanja vya Karimjee na kuwaona wana CCM na wana CDM kwa pamoja wakiomboleza kwa kupeana pole na kukumbatiana. Kwa hakika hakukuwa na kuitana MAGWANDA wala MAGAMBA.... wote walikuwa ni wamoja hata wale wa vyama vingine vikiwemo CUF, NCCR - Mageuzi, TLP, UDP na vingine.

Hata Spika wa Bunge Mama Anne Makinda alithibitisha kuwa " Kelele zinazopigwa na watu wa vyama vya siasa ni ngonjela tu, mwisho wa siku wao ni kitu kimoja kwa utanzania wao"

My take: Ushirikiano ulioonekana udumu si katika mambo ya misiba tu bali na mengineyo ya kujenga nchi likiwemo la katiba mpya tunaloliendea na mengineyo kwa ustawi wa Taifa.
 
Kwa kweli ushirikiano huu katika msiba wa dada yetu Regia kama ungelikua wanashirikiana katika kutafuta maslahi ya taifa hili hakika tungekua tuko mbali sana.
 
Kweli ni jambo linalopendeza sana, dada yetu Regia ametuweka pamoja. Watanzania kwa kweli tunapendana, katika mchakato wa katiba tupange mambo yetu vizuri ili baadaye chama chochote kishinde kwa haki na tushikane mikono kwa kubadilishana madaraka kwa amani, kwa kufanya hivyo tutaendelea kuwa kisiwa cha amani.
 
Umoja na upendo ni asili yetu isipokuwa hii tabia ya kujenga tabaka kubwa la wenye nacho na wasionacho ndio litaondoa hii asili yetu. Usije shangaa hata MS, FF, REJAO pia walikuwapo pale!
 
attachment.php
 
magamba hawaaminiki bana wapo kwenye show tu

Umenena mwanaJF haya manyang'au ya ccm ni manafiki tu hamna kitu; wachawi wao ndiyo wamemtengenezea ajali ya kutengeneza! Kwa ccm kuua ni jadi, ama kwa sumu au kishirikina maana hata mkuu wao analindwa na nguvu za kishirikina, ndiyo maana kwenye msiba huu wanajitokeza kwa wingi ili kufunika uchuro wao. Huyu mama ameuawa kwa ajali ya kutengenezwa kishrikina na wachawi wa ccm. Hii ndiyo tabia moja ya wachawi ili wasidhaniwe kuwa ndiyo wauaji. Mbona kura zake walimnyang'anya kwa nuvu ya UWT???????? Sasa huu unafuku wote ni wa nini?????? Ndiyo tabia ya wauaji ilivyo!!!!!!!!!!
 
Umenena mwanaJF haya manyang'au ya ccm ni manafiki tu hamna kitu; wachawi wao ndiyo wamemtengenezea ajali ya kutengeneza! Kwa ccm kuua ni jadi, ama kwa sumu au kishirikina maana hata mkuu wao analindwa na nguvu za kishirikina, ndiyo maana kwenye msiba huu wanajitokeza kwa wingi ili kufunika uchuro wao. Huyu mama ameuawa kwa ajali ya kutengenezwa kishrikina na wachawi wa ccm. Hii ndiyo tabia moja ya wachawi ili wasidhaniwe kuwa ndiyo wauaji. Mbona kura zake walimnyang'anya kwa nuvu ya UWT???????? Sasa huu unafuku wote ni wa nini?????? Ndiyo tabia ya wauaji ilivyo!!!!!!!!!!

Acha mawazo mgando wewe. Huezi kuwa great thinker na mawazo ya kwenye vijiwe vya kahawa kama haya.
Halafu hufanani hata na jina lako.
Shame upon you.
 
Back
Top Bottom