macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,720
Sasa wewe ndio unaleta porojo kama unajua alikokuwa Msechu alikuwa analipwa kiasi gani kama si zaidi ya hizo USd 11,000.00 na je kabla ya kuingia huko huyu ndugu unajua NHC walikuwa na nyumba ngapi na sasa wana nyumba ngapi tena nyumba za kisasa sio zile za kwenda km 2 hadi ukikute choo.Penye kusifiwa wacha tutoe sifa na penye kukosolewa wacha tukosoe lakini isiwe mtu unaleta tu pole za kusikia kama vile unasoma magazeti ya Shigongo
Sio porojo bali ni ukweli. Kwani alipotoka si alitoka mwenyewe! Hakuna aliyemshikia bunduki. Hakuna cha ziada alichofanya ila uvivu na uzembe wako unakufanya uone amefanya ya ziada. Jaribu kutembea uone bob. Watu wana-graduate chuo kikuu baada ya miaka miwili wanafanya projects kubwa kuliko huo uchafu wako