Nilipata SMS tangu Jana... Sasa hivi nipo hapa kwa Mangi natapanya mali.Wastaafu tayari pension ishatoka..
Ha ha ha ha!Maisha ya hatari sana haya.... Kimsingi unatakiwa mshahara ukukute na pesa za kuishi vizuri mwezi ujao wote. Yaani akaunti yako iwe na akiba kutosha mshahara wa mwezi wako mmoja, so mishahara iwe inagongana.
Bongo kugonganisha wanawake/wanaume mnaweza, ila kugonganisha mishahara hamuwezi
Wenye nyumba yaani mnakaba balaa. Mnafuatilia hadi huku. Asubuhi umeniuliza nimekuambia tusubiri Jumatatu. Wapangaji tunakoma mbonaMshahara wenyewe una vidonda tumekopa kila benki bado mtaani vimeo kila mahari.
Tupeane taarifa ukitoka tu huu mshahara ili tupunguze ukali huu wa maisha tukalipe vimeo vya watu tukope tena maisha yaendelee.
Nimeangalia hamna kituNMB ishatema tayar
😂😂😂😂tetesi huenda ikatoka tarehe 30