King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Ndo maana watumishi wa uma ni wezi kupindukia.
Hapo mnampigia hesabu yeye mwenyewe. Hujaweka:
~ misiba ya majirani na ndugu. Pengine atahitaji kusafiri pia.
~ anakaa na vishemeji/viwifi 2 vinasoma sekondari
~ ana mama mkwe ama baba mkwe wa kusupport
~jirani kajifungua, ana harusi ama kitchen party
~akifika hosp na kikadi chake cha bima ya afya wanamuambia xray haifanyi kazi akapigie regency alete majibu.
Ni utani mtupu aisee!
Hapo mnampigia hesabu yeye mwenyewe. Hujaweka:
~ misiba ya majirani na ndugu. Pengine atahitaji kusafiri pia.
~ anakaa na vishemeji/viwifi 2 vinasoma sekondari
~ ana mama mkwe ama baba mkwe wa kusupport
~jirani kajifungua, ana harusi ama kitchen party
~akifika hosp na kikadi chake cha bima ya afya wanamuambia xray haifanyi kazi akapigie regency alete majibu.
Ni utani mtupu aisee!