OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,238
- 103,902
Msemaji wa Singida BS Hussein Massanza tulipokutana Singida nilikwambia uache kuwasumbua watu kwamba mtaifunga Yanga. Nilikuuliza mtashindaje ikiwa mnacheza kwa maelekezo? Mzee wa Jambia kaiweka vizuri, ni bora muwe mnaenda tu TFF kusaini matokeo mnayokubaliana badala ya kuleta mashabiki kutazama maigizo
Sasa mpira tumeuona, njoo hapa uthibitishe maneno yangu kuwa nyinyi ni Yanga ya Mkoani. Katika kuthibitisha hilo waambie watu kiwango mlichoonyesha mechi ya Simba na hii ya dada zenu.