mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 229
pipooooozi! minapendekeza prof aambatane na viongozi wa kanda ya kusini akawashe moto huko. tuwazike nyinyiemu kabisa.bado dada yetu Jide.
Safi sana, wasanii amkeni siyo kukaa mnatumika na maCCM kisha yanawamwaga, karibu sana komandao Jide,msome kwenye twitter mkuu:
Lady JayDee ‏@JideJaydee 3m Kindagateni mpk Chuo kikuu, down town kwa machizi na masista duu. Mikono juu. Hapo vipi?? Hapo sawa?? Na support 100% alichoamua Prof Jay
Expand
Lady JayDee ‏@JideJaydee 16m Tunakutegemea Prof J. Ukombozi pic.twitter.com/FkQ2uaAw7S
View photo
TRA am sure kesho ama leo usiku watavamia kwake na awe makini sana na safari zake kwa kuwa CCM kuwa the other is regarded as war
Akija na Juma Nature nitafurahi sana... mzee wa kibra!kazi sasa ndio ina anza kwa wasanii....na wengine mnakalibishwa sana...
Chorus:
Naamini nitashinda mwenyezi nioneshe nuru,
Wenye roho mbaya na chuki wasinidhuru,
Visa ndiyo vimetanda na wanga kwenye msururu,
Ipo siku ntashinda Profesa nitakukuwa huru.
Verse:
Naamini nitashinda,niko vitani dhidi ya shetani.
Dhamira iliyo kichwani ni kumkana na kumlaani.
.............................