Msanii Bien Aime Baraza kutoka kundi la wasanii la Sauti Sol apanga kukata mishipa ya uzazi

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Aug 30, 2021
630
1,245
1657908511710.jpg


Msanii Bien Aime Baraza kutoka kundi la wasanii la Sauti Sol ameshangaza mashabiki baada ya kufichua kuwa anapanga kukatwa mishipaya uzazi kama njia ya upangaji uzazi mara tu atakapopata mtoto wake wa kwanza.

Baraza anasema suala la upangaji uzazi katika ndoa linafaa kuwa la wapenzi wote na yeye binafsi hawezi kubali kumuachia mke wake jukumu hilo pekee.

Kati ya Mume na Mwanamke nani anafaa kupanga uzazi?
 
View attachment 2291901

Msanii Bien Aime Baraza kutoka kundi la wasanii la Sauti Sol ameshangaza mashabiki baada ya kufichua kuwa anapanga kukatwa mishipaya uzazi kama njia ya upangaji uzazi mara tu atakapopata mtoto wake wa kwanza.

Baraza anasema suala la upangaji uzazi katika ndoa linafaa kuwa la wapenzi wote na yeye binafsi hawezi kubali kumuachia mke wake jukumu hilo pekee.

Kati ya Mume na Mwanamke nani anafaa kupanga uzazi?

Hili kundi lina vijana wa hovyo
 
Back
Top Bottom