Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Msanii Bien Aime Baraza kutoka kundi la wasanii la Sauti Sol ameshangaza mashabiki baada ya kufichua kuwa anapanga kukatwa mishipaya uzazi kama njia ya upangaji uzazi mara tu atakapopata mtoto wake wa kwanza.
Baraza anasema suala la upangaji uzazi katika ndoa linafaa kuwa la wapenzi wote na yeye binafsi hawezi kubali kumuachia mke wake jukumu hilo pekee.
Kati ya Mume na Mwanamke nani anafaa kupanga uzazi?