Kenyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 414
- 313
Msanii na mfanyabiashara Akothee hatimaye amefunga pingu za maisha na mpenzie Dennis 'omosh' Schweitzer.
Harusi hio kubwa iliyofanyika katika mgahawa wa Windsor Golf jijini Nairobi ilihudhuriwa na watu tajika wakiwemo Wabunge na Maseneta.
"Nimejaribu kufunga ndoa mara tatu lakini sikufanikiwa. Niliolewa tu mara moja na baba ya watoto wangu wa kwanza wawili, lakini waliofuata wazungu wawili hawajawahi kunioa. Nilidhani baba mtoto wangu wa tatu atanioa lakini halikutendeka." Amesema Akothee.
Harusi hio kubwa iliyofanyika katika mgahawa wa Windsor Golf jijini Nairobi ilihudhuriwa na watu tajika wakiwemo Wabunge na Maseneta.
"Nimejaribu kufunga ndoa mara tatu lakini sikufanikiwa. Niliolewa tu mara moja na baba ya watoto wangu wa kwanza wawili, lakini waliofuata wazungu wawili hawajawahi kunioa. Nilidhani baba mtoto wangu wa tatu atanioa lakini halikutendeka." Amesema Akothee.