Msanii Akothee(40), afunga pingu za maisha

Kenyan

JF-Expert Member
Jun 7, 2012
414
313
Msanii na mfanyabiashara Akothee hatimaye amefunga pingu za maisha na mpenzie Dennis 'omosh' Schweitzer.

Harusi hio kubwa iliyofanyika katika mgahawa wa Windsor Golf jijini Nairobi ilihudhuriwa na watu tajika wakiwemo Wabunge na Maseneta.

"Nimejaribu kufunga ndoa mara tatu lakini sikufanikiwa. Niliolewa tu mara moja na baba ya watoto wangu wa kwanza wawili, lakini waliofuata wazungu wawili hawajawahi kunioa. Nilidhani baba mtoto wangu wa tatu atanioa lakini halikutendeka." Amesema Akothee.

20230410_175823.jpg
 
Msanii na mfanyabiashara Akothee hatimaye amefunga pingu za maisha na mpenzie Dennis 'omosh' Schweitzer.

Harusi hio kubwa iliyofanyika katika mgahawa wa Windsor Golf jijini Nairobi ilihudhuriwa na watu tajika wakiwemo Wabunge na Maseneta.

"Nimejaribu kufunga ndoa mara tatu lakini sikufanikiwa. Niliolewa tu mara moja na baba ya watoto wangu wa kwanza wawili, lakini waliofuata wazungu wawili hawajawahi kunioa. Nilidhani baba mtoto wangu wa tatu atanioa lakini halikutendeka." Amesema Akothee.

View attachment 2583470
Huyo mzungu kalogwa unaacha mademu wazuri kama Kamene,Mercy kyalo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom