kuna rafiki yangu alikuwa na mke hapo awali,ikatokea tafrani wakaachana jamaa akiwa kwenye msoto mkali,akaahidi hatooa tena!Mungu si athumani akatokea mdada akampenda akamuoa,sasa kivumbi yule mke wake wa awali amemuangukia na ametuma watu amrudie na hii ni baada ya miaka sita!afanyeje na ikiwa na wazazi wa huyo rafiki yangu wameridhia baada ya kufuatwa?anaomba ushauri!