Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Naomba kupata majibu tafadhali, maana siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia msafara wa mwenye-kaya ukiwa na ambulance kila aendapo. Watu tunajiuliza sana kwani Huu utamaduni mpya..mmmh..!
Naomba kupata majibu tafadhali, maana siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia msafara wa mwenye-kaya ukiwa na ambulance kila aendapo. Watu tunajiuliza sana kwani Huu utamaduni mpya..mmmh..!
Kwani wewe haujui kwamba afya ya mkuu wa kaya wako inasumbua,akianguka kafla kwenye gari unafikiri nani atampa 1st aid.
Kwani wewe haujui kwamba afya ya mkuu wa kaya wako inasumbua,akianguka kafla kwenye gari unafikiri nani atampa 1st aid.
source plzeeeeeee.....otherwize photo plzeeeee,otherwiz habari yako batili
Kwani hairuhusiwi kupiga picha msafara wa mkwere....!?Objection,
Binafsi nimeshashuhudia akitokea bagamoyo, ambulance ni ya pili toka mwisho kabla ya gari ya MKUU WA MSAFARA. Huwezi kuupiga picha msafara wa mkulu
Wewe unauliza swali gani hapa? Kwani hujui ambulance kazi yake ni nini? Kama unajua basi majibu unayo. Na kama hujui sema upewe maelezo.
Mkuu jaribu kujikumbusha kidogo juu ya shida za kuanguka za mwenye msafara , pamoja na kuwa ameongezewa ulinzi usioonekana na Mhe. Yahya Hussein, ni vyema watu makini lazima wachukue tahadhari , maana pale ulinzi wa Shekhe Yahya uki fail , hapo ndipo matumizi ya hiyo ambulance utakapoyaona .Naomba kupata majibu tafadhali, maana siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia msafara wa mwenye-kaya ukiwa na ambulance kila aendapo. Watu tunajiuliza sana kwani Huu utamaduni mpya..mmmh..!