SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,384
- 892
- Thread starter
- #41
Mihayo ni mjinga sana
Polisi bado wanaendelea kutumika hawajasoma
Naambiwa lami imedekiwa zaidi ya km 10
Ninahuruma sana na Mgonjwa ndio maana nakushauri usimpe Mgonjwa kazi ngumu ya kusumbua Akili.kama unampenda utasaidia abaki huru akihudumia Afya yake
Hakuna mtu mwenye Afya njema na Muda ataacha kwenda kushuhudia Mgonjwa Mahututi ambae kaacha kupigania Afya yake kwenye Viunga vya hospitali badala yake yuko bize anachechemea kwny Majukwaa ya kisiasa eti anataka Urais ili afute Rushwa, Umaskini, foleni Mijini ndani ya siku mia moja, hata mie nilienda kumshuhudia Viwanja vya Kawe nikaamini kwa Macho yangu ya Mgonjwa mahututi mwenye Ujasiri wa kusema anataka kupeleka mchaka mchaka watu wazima!
leo tarehe 10/10/2015 ifikapo saa 3:05 usiku usikose kuangalia kipindi cha ajenda 2015 na jaji joseph sinde warioba!
Kupitia chanel ya startv!!!!
Leo tarehe 10/10/2015 ifikapo Saa 3:05 usiku usikose kuangalia kipindi cha AJENDA 2015 na Jaji Joseph Sinde Warioba!
Kupitia Chanel ya Startv!!!!
mkusanyiko au maandamano yoyote bila kibali ni haramu.kwani angetua kimya kimya na kwenda kulala nani angejua?pia hawezi jua je kama kuna watu wana nia mbaya nae,,tatizo lowassa anapenda sifa za kijinga na kuonewa huruma.
Leo tarehe 10/10/2015 ifikapo Saa 3:05 usiku usikose kuangalia kipindi cha AJENDA 2015 na Jaji Joseph Sinde Warioba!
Kupitia Chanel ya Startv!!!!
Hakuna mtu mwenye Afya njema na Muda ataacha kwenda kushuhudia Mgonjwa Mahututi ambae kaacha kupigania Afya yake kwenye Viunga vya hospitali badala yake yuko bize anachechemea kwny Majukwaa ya kisiasa eti anataka Urais ili afute Rushwa, Umaskini, foleni Mijini ndani ya siku mia moja, hata mie nilienda kumshuhudia Viwanja vya Kawe nikaamini kwa Macho yangu ya Mgonjwa mahututi mwenye Ujasiri wa kusema anataka kupeleka mchaka mchaka watu wazima!
Kalale,we mabomu unayajua wewe!si angekuwa kafa saa hizi??
Huyo ndiye Rais wako, hata kama anaumwa. Kama hutaki kajinyonge mapemaaaaaaaa. Imekula kwako hiyo.
Hakuna mtu mwenye Afya njema na Muda ataacha kwenda kushuhudia Mgonjwa Mahututi ambae kaacha kupigania Afya yake kwenye Viunga vya hospitali badala yake yuko bize anachechemea kwny Majukwaa ya kisiasa eti anataka Urais ili afute Rushwa, Umaskini, foleni Mijini ndani ya siku mia moja, hata mie nilienda kumshuhudia Viwanja vya Kawe nikaamini kwa Macho yangu ya Mgonjwa mahututi mwenye Ujasiri wa kusema anataka kupeleka mchaka mchaka watu wazima!
Kuliko niangalie startv nibora niweke CD ya mpira