Jamani kwa wanaofutilia ziara ya Kikwete Brazil kwenye Mkutano wa OGP hivi una wajumbe wangapi? hesabu Per Diem zao, hotel, etc, Na je nchi kama Marekaniimepeleka wajumbe wangapi katika Mkutano huo?
Na je mkutano huo una Tija kwetu ktk hali mbaya tuliyonayo kiuchumi? Hivi kweli ytuna Open Governance Tanzania? Kama kweli Open Governance ingekuwepo kusingekuwa na wizi wa Mabilioni ktk sekta mbalimbali, watu wangekuwa informed kwa kila jambo lenye maslahi kitaifa na wangetoa mawazo yao.
Na je mkutano huo una Tija kwetu ktk hali mbaya tuliyonayo kiuchumi? Hivi kweli ytuna Open Governance Tanzania? Kama kweli Open Governance ingekuwepo kusingekuwa na wizi wa Mabilioni ktk sekta mbalimbali, watu wangekuwa informed kwa kila jambo lenye maslahi kitaifa na wangetoa mawazo yao.