Msaada wapendwa

Neyjerry

Member
Jun 12, 2012
82
15
Habari wanajamii forum, am new here na mara nyngi huwa napitia yanayojadiliwa umu... Am looking for temporary job in dar es salaam from july to october during my likizo. Am university student taking bachelor of commerce in accounting.
 
Have look, kuna thread nimeziona leo wanahitaji watu wenye masomo kama yako, so take ur time kuzicheck vizuri. Na upo mwaka wa ngapi??First year, Second or third ni better kuwa more specific ili iwe more simple kusaidiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom