kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
Heshima mbele wakuu!!!
Mimi ni mwenyeji wa moshi ila sasa hivi nipo dodoma kikazi kama mwaka pili hivi,tatizo langu ni kuwa siku za hivi karibuni nimeanza kuwashwa sana mwilini nikitembea kwenye jua,imefikia hatua nikianza kula chakula cha moto au chenye pilipili naisikia iyo hali au nikifua lakini kubwa zaidi nikitembea kwenye jua,naomba mnisaidie wakuu,ili ni tatizo gani?na nichukue hatua gani?nifanyeje kwasababu i can feel it as a serious problem now.
Mimi ni mwenyeji wa moshi ila sasa hivi nipo dodoma kikazi kama mwaka pili hivi,tatizo langu ni kuwa siku za hivi karibuni nimeanza kuwashwa sana mwilini nikitembea kwenye jua,imefikia hatua nikianza kula chakula cha moto au chenye pilipili naisikia iyo hali au nikifua lakini kubwa zaidi nikitembea kwenye jua,naomba mnisaidie wakuu,ili ni tatizo gani?na nichukue hatua gani?nifanyeje kwasababu i can feel it as a serious problem now.