DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,907
- 2,094
This is not fair! Hakika ni ngumu kumeza hii! Kama ndo ukweli sina budi kukubaliana nao, lakn why mashulen vipimo vya METRIC vipewe kipaumbele wakat uraian vinatumika vya EMPERIAL? Hakika nafsi yangu itachukua muda kulikubali hili! Kwa vipimo hivi (acre, foot, yard, pounds, ounce, etc) wengi tutaibiwa! Ahsanteni.
Swali la kimfumo wa elimu........why Metric and not Imperial?
Where is relevance?/ coheretion?