Msaada wa Ushauri: Rafiki yangu anataka kujiua kwasababu ya maisha kuwa magumu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,922
Historia ya huyu kijana aliyezaliwa miaka takribani 36 iliyopita ni ndefu yenye milima na mabonde mengi mno.

Ni kijana aliyezaliwa ktk familia iliyokuwa ikijiweza kimaisha lakini baada tu ya muda fulani wazazi wake wakatengana hivyo kukaanza kupelekea huyu kijana kuhangaika na kutokujua ni wapi ashikilie.

Kijana kamaliza shule ya msingi hivyo hivyo kishida shida akafaulu kwani ana uwezo mkubwa pia darasani. Akafanikiwa kuingia sekondari ambapo na penyewe pia alisoma kishida mno na akamaliza kwa kufaulu daraja la pili.

Akajiunga na kidato cha tano hadi cha sita ambapo na penyewe pia akafanikiwa akamaliza na kufaulu kwa daraja la pili na kufanikiwa kujiunga na chuo kikuu.

Tambueni kuwa kipindi chote hiki huyu kijana alikuwa anaishi tu kwa msaada wa watu kwani ilipelekea hadi wazazi wake kila mmoja kumsusia na kila alipowafuata kwa msaada hao wazazi wake wawili walikuwa wanamkana japo kuwa wao ndiyo wazazi wake halisi.

Hali hii ilimpelekea huyu kijana aishi maisha ya taabu sana lakini akajitahidi kufanya vijikazi vya hapa na pale ili ajipatie ada ya chuo na kweli akafanikiwa na kusoma chuo kikuu na kufanikiwa kumaliza na shahada yake ya kwanza ya mawasiliano ya umma.

Alipomaliza tu chuo huyu kijana akapata kazi ktk taasisi moja hapa jijini ambapo alifanya kazi kwa miaka mitatu na hapo hapo wale wazazi wake wakajifanya kurudisha uhusiano na yeye na kijana wa watu akaona kuwa asilipe kisasi kwao.

Baada tu ya kufanya kazi katika hiyo taasisi kwa miaka yake hiyo mitatu bahati mbaya hiyo taasisi ikakumbwa na tatizo kubwa iliyopelekea wafanyakazi wake kusimamishwa ajira zao ambapo walilipwa mafao yao.

Kijana wa watu alipowaambia tu wazazi wake kuwa kazi hana tena wale wale wazazi waliojifanya kumpenda kipindi kile ana kazi wakampotezea tena na kijana kwakuwa alikuwa amejiwekea vijihela vyake akaamua kurudi masomoni na kusomea shahada ya pili ya Uzamiri ya mambo hayo hayo ya mawasiliano ya umma na sasa anamalizia tu kufanya utafiti na kuhitimu rasmi mwezi Oktoba / Novemba.

Kwa sasa kijana wa watu huyu anahangaika sana kutafuta vibarua bila ya mafanikio na akijaribu tena kwenda hata tu kuwasalimu wazazi wake na kuwaomba msaada kuwa wamsaidie tu hata na pesa za yeye kujikimu au kufungulia mradi ili aendeshee maisha yake wazazi wake wote wawili wanamtukana na kumfukuza na kijana amepanga na kodi yake imebaki mwezi kama mmoja tu kumalizika hivyo hajui hatima yake kimaisha.

M imi binafsi nimekuwa nikijitahidi sana kutoa ushirikiano wangu wa hali na mali kwake ila kinachonipelekea kuwasilisha hapa kwenu hali yake hii ni kwamba kijana wa watu sasa ameshakata tamaa ya maisha na anataka kunywa sumu na kujiua kwani anasema kuwa inawezekana wazazi wake hao walimzaa kibahati mbaya kwani hawana hata huruma na upendo nae.

Ni kijana anayejituma, mkarimu na mwenye kumcha sana Mungu na hicho nilichokiandika hapo ni sehemu tu ndogo ya maisha yake ya shida na taabu aliyopitia na hata hichi nilichokiandika hapa yeye hajui na hafahamu kwani siyo mtu wa kushinda au kutembelea humu JF.

Nimewasilisha hili jambo kwenu ili kwa yoyote msamaria mwema atakayeguswa na tatizo la huyu kijana basi atoe ushauri wake ili nami niweze kumshauri na kwa wale watakaotaka kumsaidia siyo kipesa kwani yeye anachokitaka tu ni kupata kazi ya uhakika ili aweze kuendesha maisha yake haya magumu hivyo kwa bosi yoyote au mwenye kampuni au mtu yoyote mwenye ofisi au taasisi au kampuni yake na inahitaji mtu wa kazi basi mni pm ili niwapeni namba yake na muweze kumsaidia.

Bahati nzuri hata kozi aliyosomea hiyo ya mawasiliano ya umma ( Mass Communication ) anaweza kufanya kazi ktk taasisi yoyote ile inayojihusisha na jamii/uhusiano na habari.

Naomba kuwasilisha kwenu na nawaombeni radhi kwa uzi huu mrefu ila imenibidi niuwasilishe kwenu ili tuweze kumsaidia.

Mbarikiwe
 
Miaka 36? Embu kuweni serious....kuna vijana wadogo amabo wazazi wao si walitengana tu bali hawakuwahi kuishi pamoja ila madogo wako vizuri sana na hawatafuti vijisababu vya kusingizia pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo...

Muhimu mshauri huyu unayemwita rafiki yako arudi nyuma aangalie ni wapi alipomess up kisha ajipange upya asonge mbele...hii ya kulia lia haimfikishi popote! Kama akitaka kujiua basi ajiue akijua huko anakokimbilia nako si lele mama maana aliyempa uhai ataenda kumfungulia shitaka la kuingilia kazi ya Israel
 
Kwani yeye ndiyo alisababisha watengane? Iweje wazazi wake wamchukie!!!!! Tafadhali iweke vizuri hii story kabla hatujai classify kuwa ni ya kutunga.
 
Miaka 36? Embu kuweni serious....kuna vijana wadogo amabo wazazi wao si walitengana tu bali hawakuwahi kuishi pamoja ila madogo wako vizuri sana na hawatafuti vijisababu vya kusingizia pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo...

Muhimu mshauri huyu unayemwita rafiki yako arudi nyuma aangalie ni wapi alipomess up kisha ajipange upya asonge mbele...hii ya kulia lia haimfikishi popote! Kama akitaka kujiua basi ajiue akijua huko anakokimbilia nako si lele mama maana aliyempa uhai ataenda kumfungulia shitaka la kuingilia kazi ya Israel

umenikumbusha mbali sana mi nilitoka home nikiwa na miaka 15 nikarudi baada ya miaka kumi nikanunua eneo nikajenga na wadogo zangu watatu wote nikawapeleka shule. leo imepita miaka mengine kumi kila mtu home anajiweza daa huyu jamaa ana miaka 36 anataka kujiua coz ya ugumu wa maisha? na angekuwa kilema au kipofu ingekuwaje. huo umri sio wa kulia ni wa kuitwa baba ndugu aache kujidekeza bana
 
Mbona kama shida kubwa hapo ni ajira na sio suala la kujiua, Huyo anataka kujiua au anataka ajira? kwanza atambue kuwa ajira ni ngumu na hayuko peke yake wengi wanatafuta pia. Pili kama yeye ni mcha Mungu iweje awaze kuwaza dhambi hiyo kimakusudi na tena anasema kabisa nataka kujiua.

Mtu anayetaka kujiua huwa asemi, mnakuta tu maiti tayali. Hivyo basi mwambie aendelee kumuomba Mungu atapata ajira na akipata asimsahau Mungu, na kuwatunza wazazi wake pia, na wasiojiweza ktk jamii pale watakapohitaji msaada toka kwake.

NB: Nikisikia mahala nitakupm.
 
Tatizo la ajira ni la wengi, na kujiua sio jibu la kupata ajira. Kabla hajafikiria kujiua aende kwenye media kama Radio Free Afrika kipindi cha ushauri wako- ashauriwe.
NB;
Na nyie wasomi wa madigrii na masters, mnapoenda ofisi za watu, kubalini kuanzia ngazi za chini.
^^
 
Mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!

Kijana atafute mke aoe, azae watoto huo upendo wa wazazi au channel kwenye familia. Kama ni domo zege sanaa kamuooleeni mke hata kijijini. Tatizo lake yuko lonely sanaaaa, hao watu anaowapenda HAWASTAHILI HUO UPENDO hata robo. Tena atakuwa mume na baba mzuri kinomaaaaaa, basi tu, mambo ya kujiua atasahau kabisaaaaa. Mtafutieni mke mwenzenuuuu.
 
Tatizo la ajira ni la wengi, na kujiua sio jibu la kupata ajira. Kabla hajafikiria kujiua aende kwenye media kama Radio Free Afrika kipindi cha ushauri wako- ashauriwe.
NB;
Na nyie wasomi wa madigrii na masters, mnapoenda ofisi za watu, kubalini kuanzia ngazi za chini.
^^

Aaaaah wapi! GOD DID NOTTAKE YOU THAT FAR TO EMBARRASS AND HUMILIATE YOU! Angeona you didnt deserve a Masters usingepata hata kwa dawa.
 
Aaaaah wapi! GOD DID NOTTAKE YOU THAT FAR TO EMBARRASS AND HUMILIATE YOU! Angeona you didnt deserve a Masters usingepata hata kwa dawa.

Raising from point zero to hero, is not humiliation rather it is a history of glory.
^^
 
Kijana wa miaka 36,mwenye shahada ya 2 ya mass communication,anaomba msaada kwa baba yake!? Aisee,mwambie ajiue haraka sana maana hata elimu haijamsaidia! Uamzi anaotaka kuuchukua ndo uamzi mzuri kabisaa,hana faida Duniani.
 
Mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!

Kijana atafute mke aoe, azae watoto huo upendo wa wazazi au channel kwenye familia. Kama ni domo zege sanaa kamuooleeni mke hata kijijini. Tatizo lake yuko lonely sanaaaa, hao watu anaowapenda HAWASTAHILI HUO UPENDO hata robo. Tena atakuwa mume na baba mzuri kinomaaaaaa, basi tu, mambo ya kujiua atasahau kabisaaaaa. Mtafutieni mke mwenzenuuuu.

Yaani ulivyochange avatar mtu anaweza kukupita bila hata kukusalimia, maana umebadilika. Hujamboo?
 
Historia ya huyu kijana aliyezaliwa miaka takribani 36 iliyopita ni ndefu yenye milima na mabonde mengi mno.

Ni kijana aliyezaliwa ktk familia iliyokuwa ikijiweza kimaisha lakini baada tu ya muda fulani wazazi wake wakatengana hivyo kukaanza kupelekea huyu kijana kuhangaika na kutokujua ni wapi ashikilie.

Kijana kamaliza shule ya msingi hivyo hivyo kishida shida akafaulu kwani ana uwezo mkubwa pia darasani. Akafanikiwa kuingia sekondari ambapo na penyewe pia alisoma kishida mno na akamaliza kwa kufaulu daraja la pili.

Akajiunga na kidato cha tano hadi cha sita ambapo na penyewe pia akafanikiwa akamaliza na kufaulu kwa daraja la pili na kufanikiwa kujiunga na chuo kikuu.

Tambueni kuwa kipindi chote hiki huyu kijana alikuwa anaishi tu kwa msaada wa watu kwani ilipelekea hadi wazazi wake kila mmoja kumsusia na kila alipowafuata kwa msaada hao wazazi wake wawili walikuwa wanamkana japo kuwa wao ndiyo wazazi wake halisi.

Hali hii ilimpelekea huyu kijana aishi maisha ya taabu sana lakini akajitahidi kufanya vijikazi vya hapa na pale ili ajipatie ada ya chuo na kweli akafanikiwa na kusoma chuo kikuu na kufanikiwa kumaliza na shahada yake ya kwanza ya mawasiliano ya umma.

Alipomaliza tu chuo huyu kijana akapata kazi ktk taasisi moja hapa jijini ambapo alifanya kazi kwa miaka mitatu na hapo hapo wale wazazi wake wakajifanya kurudisha uhusiano na yeye na kijana wa watu akaona kuwa asilipe kisasi kwao.

Baada tu ya kufanya kazi katika hiyo taasisi kwa miaka yake hiyo mitatu bahati mbaya hiyo taasisi ikakumbwa na tatizo kubwa iliyopelekea wafanyakazi wake kusimamishwa ajira zao ambapo walilipwa mafao yao.

Kijana wa watu alipowaambia tu wazazi wake kuwa kazi hana tena wale wale wazazi waliojifanya kumpenda kipindi kile ana kazi wakampotezea tena na kijana kwakuwa alikuwa amejiwekea vijihela vyake akaamua kurudi masomoni na kusomea shahada ya pili ya Uzamiri ya mambo hayo hayo ya mawasiliano ya umma na sasa anamalizia tu kufanya utafiti na kuhitimu rasmi mwezi Oktoba / Novemba.

Kwa sasa kijana wa watu huyu anahangaika sana kutafuta vibarua bila ya mafanikio na akijaribu tena kwenda hata tu kuwasalimu wazazi wake na kuwaomba msaada kuwa wamsaidie tu hata na pesa za yeye kujikimu au kufungulia mradi ili aendeshee maisha yake wazazi wake wote wawili wanamtukana na kumfukuza na kijana amepanga na kodi yake imebaki mwezi kama mmoja tu kumalizika hivyo hajui hatima yake kimaisha.

M imi binafsi nimekuwa nikijitahidi sana kutoa ushirikiano wangu wa hali na mali kwake ila kinachonipelekea kuwasilisha hapa kwenu hali yake hii ni kwamba kijana wa watu sasa ameshakata tamaa ya maisha na anataka kunywa sumu na kujiua kwani anasema kuwa inawezekana wazazi wake hao walimzaa kibahati mbaya kwani hawana hata huruma na upendo nae.

Ni kijana anayejituma, mkarimu na mwenye kumcha sana Mungu na hicho nilichokiandika hapo ni sehemu tu ndogo ya maisha yake ya shida na taabu aliyopitia na hata hichi nilichokiandika hapa yeye hajui na hafahamu kwani siyo mtu wa kushinda au kutembelea humu JF.

Nimewasilisha hili jambo kwenu ili kwa yoyote msamaria mwema atakayeguswa na tatizo la huyu kijana basi atoe ushauri wake ili nami niweze kumshauri na kwa wale watakaotaka kumsaidia siyo kipesa kwani yeye anachokitaka tu ni kupata kazi ya uhakika ili aweze kuendesha maisha yake haya magumu hivyo kwa bosi yoyote au mwenye kampuni au mtu yoyote mwenye ofisi au taasisi au kampuni yake na inahitaji mtu wa kazi basi mni pm ili niwapeni namba yake na muweze kumsaidia.

Bahati nzuri hata kozi aliyosomea hiyo ya mawasiliano ya umma ( Mass Communication ) anaweza kufanya kazi ktk taasisi yoyote ile inayojihusisha na jamii/uhusiano na habari.

Naomba kuwasilisha kwenu na nawaombeni radhi kwa uzi huu mrefu ila imenibidi niuwasilishe kwenu ili tuweze kumsaidia.

Mbarikiwe
Miaka 36 unalialia
(eti wazazi hawanisaidii)
huu si
ndo mwanzo wa ushoga?
Tena msomi na una afya.
Hebu tuache kumkufuru Mungu.
 
Kijana wa miaka 36,mwenye shahada ya 2 ya mass communication,anaomba msaada kwa baba yake!? Aisee,mwambie ajiue haraka sana maana hata elimu haijamsaidia! Uamzi anaotaka kuuchukua ndo uamzi mzuri kabisaa,hana faida Duniani.
Mie ananipa wasiwasi kama sio punga? ....sijui.
 
Mbona kama shida kubwa hapo ni ajira na sio suala la kujiua, Huyo anataka kujiua au anataka ajira? kwanza atambue kuwa ajira ni ngumu na hayuko peke yake wengi wanatafuta pia. Pili kama yeye ni mcha Mungu iweje awaze kuwaza dhambi hiyo kimakusudi na tena anasema kabisa nataka kujiua.

Mtu anayetaka kujiua huwa asemi, mnakuta tu maiti tayali. Hivyo basi mwambie aendelee kumuomba Mungu atapata ajira na akipata asimsahau Mungu, na kuwatunza wazazi wake pia, na wasiojiweza ktk jamii pale watakapohitaji msaada toka kwake.

NB: Nikisikia mahala nitakupm.
Hili litakuwa bwabwa linatafuta mende humu.
Sipendi watu wanaodeka.
mwambieni ajiue.
 
Kama ana umri huyo na elimu kubwa namna hiyo...Mwambie aache kudeka deka na maisha APAMBANE.
 
Duuhh kazi kweli kweli, mimi naamini mtu akipitia maisha magumu (ya kuhaswa) huwa imara zaidi ktk kuzikabiri dhoruba za kimaisha. Pengine matatizo aliyonayo yanamfanya ahisi upweke unaohitaji faraja ima ya wazazi au ya mtu mwenye kugusa hisia zake. Ushauri wa Lala 1ni mzuri aufuate. Lakini anatakiwa awaone wataalamu wa saikolojia wamsaidie kumshauri namna bora ya kufikiri.
 
Back
Top Bottom