Insidious
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 608
- 837
kama unadai kodi, lazima utoe notisi ya kipindi si chini ya siku 30, sheria ya ardhi inasema hivyo kipengele cha 104Halafu kuna mapumbavu hapo juu yanakwambia sheria ni miezi3 yamekaa yamekadanganyana kwenye kahawa.
Halafu yanajifanya majuaji kweli. Sheria haijataja muda specific nimewaambia waniletee sheria inayosema miezi3 unampa MPANGAJI naona kimya