Kama unajua minimum capital kwa hii biashara na bei ya fremu maemeo tajwa nijulishe, mengine niachieUtafiti haufanywi Hivyo mzee. Market research ndiyo kitu muhimu Kuliko hata biashara.
Kama unajua minimum capital kwa biashara hii na bei ya fremu maeneo tajwa nijulishe,mengine niachieIngia chimbo, angalia wateja wako unaowalenga wapo kwenye hilo eneo au hauna wateja, ni nani watakua washindani wako kwenye hilo eneo, washindani wako wamefanikiwa kiasi gani kupitia hio Biashara unayotaka kuianzisha, ni nini kimewafanya wafanikiwe kwenye hio Biashara, ni nini kina kosekana kwao ambacho wewe unaweza ukakiongezea kwenye Biashara yako ili kuwapiku kibiashara washindani wako kwenye hilo eneo?
Anza na business plan mkuu fanya research & survey kabla hujaanza kufanya Biashara katika eneo husika
Nitarudi tena baadae...
Ndio maana nikakwambia andaa business plan au hujaelewa? minimum capital ni 10M upto 20M, haya andaa business plan sasaKama unajua minimum capital kwa biashara hii na bei ya fremu maeneo tajwa nijulishe,mengine niachie
Jamaa kaomba anayejua mtaji kiasi gani wa kuanzia nayo na bei za frem maeneo hayo, sas wew unamlazimisha business plan ya nin sassNdio maana nikakwambia andaa business plan au hujaelewa? minimum capital ni 10M upto 20M, haya andaa business plan ssa
Bado haujanielewa Jamaa kakurupuka haya mambo ukikurupuka utakula loss moja ya karne hutokaa huaminiJamaa kaomba anayejua mtaji kiasi gani wa kuanzia nayo na bei za frem maeneo hayo, sas wew unamlazimisha business plan ya nin sass
Usipende mteremko hivyo mzeiyaa nenda tabata soma mazingira na upepo, uliza fremu mwenyewe kwa madalali na wapangaji upate uhalisia, rudi na Goba vivyo hivyo. Utelezi usiwe mwingi mzee pambana kaza tacallWaungwana nataka kufungua biashara hii maeneo kama Tabata au Goba naomba msaada WA mawazo mtaji mdogo kiasi gani naweza kuanza nao na being za fremu maeneo hayo. Wenye uzoefu naomba msaada went. Asanteni
Mwendo Kasi inahusiana vp na biashara kupoa mkuuTabata achana napo.. Soon wanajenga M/Kasi patapoa sana. Focus kwingine.
Karibu Dar. Ref Sinza wakati Shekirango Rd inarekebishwa. Bar zililala sana kile kipindi ikaamia Tabata. Sahivi zamu ya Tabata.Mwendo Kasi inahusiana vp na biashara kupoa mkuu
Kwa hiyo sas hv imerudi tena sinza, ikiisha tabata itarudi tena sio, Kwa hiyo shida ni kipindi cha ujenzi Tu wa mwendokasiKaribu Dar. Ref Sinza wakati Shekirango Rd inarekebishwa. Bar zililala sana kile kipindi ikaamia Tabata. Sahivi zamu ya Tabata.
Biashara za kuuzia walevi hesabu zake ni ngumu sana.Kwa hiyo sas hv imerudi tena sinza, ikiisha tabata itarudi tena sio, Kwa hiyo shida ni kipindi cha ujenzi Tu wa mwendokasi
Kwamba zile nyumba za barabarani watazilipa zitoke au?Tabata achana napo.. Soon wanajenga M/Kasi patapoa sana. Focus kwingine.
Njoo mwaga madiniIngia chimbo, angalia wateja wako unaowalenga wapo kwenye hilo eneo au hauna wateja, ni nani watakua washindani wako kwenye hilo eneo, washindani wako wamefanikiwa kiasi gani kupitia hio Biashara unayotaka kuianzisha, ni nini kimewafanya wafanikiwe kwenye hio Biashara, ni nini kina kosekana kwao ambacho wewe unaweza ukakiongezea kwenye Biashara yako ili kuwapiku kibiashara washindani wako kwenye hilo eneo?
Anza na business plan mkuu fanya research & survey kabla hujaanza kufanya Biashara katika eneo husika
Nitarudi tena baadae...
Nafikiri amemaanisha kwamba wakati wa ujenzi barabara zinakuwa zinablokiwa kwa ajili ya kupisha ujenzi hali inayofanya kuleta usumbufu kwenye usafiri hasa wale wenye magari yao private wanakuwa hawavutiwi kuja au kupita maeneo hayo na automatically panapooza.Kwamba zile nyumba za barabarani watazilipa zitoke au?
Watu wanafanya masihara na bznz hawana huruma na mitaji yaoBado haujanielewa Jamaa kakurupuka haya mambo ukikurupuka utakula loss moja ya karne hutokaa huamini
Au unafikiri haya mambo yanaendeshwa kienyeji km Biashara ya kuuza vitumbua?