Heshima yenu wakuu! Naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu wa kujua kituo cha kupigia kura kwa njia ya mtandao, nimesikia maelekezo yakitolewa Tbc 2 sikuwaelewa vizuri, hoja yangu ndio hiyo, niko safarini kuelekea Arumeru kutimiza haki yangu ya msingi kikatiba. Ni mimi mpiga kura!