Polonium210
Member
- Nov 24, 2011
- 58
- 39
Kwa Muda Mrefu nimekuwa nikitumika kuua wale wote wenye mitizamo tofauti na Watawala wa Dunia. Nimeamua kuongoka naombeni Mniombee ili Badala ya Kutumika Kutoa Uhai wa Viumbo visivyo na Hatia basi nitumike Kutokomeza Wizi, Dhuluma, Ufisadi na Kila aina ya Ushenzi
Asanteni
Asanteni