Mathematical
Senior Member
- Nov 8, 2010
- 120
- 43
habari wadau wa sheria, mimi sio mwanasheria ila naomba msaada wa kufahamu hili je mtu ambaye amefikia level ya country manager au managing director wa kampuni fulani hapa nchini lakini mtu huyo sio mtanzania je ana work permit ya mda wa miaka mingapi kufanya kazi nchini katika position hiyo na je baada ya kumaliza mda huo anaruhusiwa kurudi nchini baada ya miaka mingapi??