sijazaliwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 207
- 141
Hivi ikatokea wachumba wamefunga NDOA bila kupima HIV. Baada ya miezi mitatu kupita mkaenada kupima na kugundua mmoja wenu ni HIV POSTIVE na mwingine ni HIV NEGATIVE.......je sheria inawaruhusu kuendelea kuishi pamoja au inasemaje?
....Msaada kwa Bi NYAU plz CONDA.........!
....Msaada kwa Bi NYAU plz CONDA.........!