Msaada wa kisaikolojia unahitajika

Mzee nasemaje, Emotions are part of the equation of our lives, but not the entire equation. Just because something feels good doesn’t mean it is good. Just because something feels bad doesn’t mean it is bad. Emotions are merely signposts, suggestions that our neurobiology gives us, not commandments. Therefore, we SHOULDN'T always trust our own emotions. In fact, I believe we should
make a HABIT of questioning them... DONT BE STUPID MAN, HUYO DEMU ATAKUPASUA KICHWA WNAWAKE WANAOSIKIA NA KUELEWA WAPO WENGI TU.. SIKIO LA KUFA HILO MZEE...
Thanks, nimechukua hii
 
Kwanza pole, ili ukweli huu ukuingie.
.
Mwanamke mpaka akuache lazima kuna sehemu ulianza kutetereka na akakuvumilia mpaka sasa we unaona ghafla lakini kamwe sio ghafla. Ulipoanza story na kusema 'kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu' nikajua tu umeachika. Sababu mwanamke yoyote hawezi kuwa na mahusiano au kudumu na mtu amchukuliaye kama rafiki, mshkaji na ndugu na akiwa basi hayatakua mahusiano matamu.
.
Okay, limeshatokea nini cha kufanya?
Cha kwanza futa namba yake, kata mawasiliano naye, USIMTAFUTE kutaka kujua chanzo cha break up au amekula nini leo, mwache hata huyo aliyenae saivi akitetereka atakutafuta tu wewe. Pata muda wa kupoza moyo. Ila jitahidi hayo maumivu yasikuendeshe au watu (hasa huyo mdada) kuona kuna kitu kinakutatiza. Usitafute demu wa kulipizia kuachwa ila tafuta mwanamke kwa lengo lako..
.
Seriously, mpotezee futa kila kitu chake, hata kama ni ngumu vipi mana tayari amekuonesha alivyo, je ungependa uende naye kwenye ndoa baada ya kukuonesha alivyo?
 
Kwanza pole, ili ukweli huu ukuingie.
.
Mwanamke mpaka akuache lazima kuna sehemu ulianza kutetereka na akakuvumilia mpaka sasa we unaona ghafla lakini kamwe sio ghafla. Ulipoanza story na kusema 'kwangu alikua rafiki, mshkaji na kama ndugu' nikajua tu umeachika. Sababu mwanamke yoyote hawezi kuwa na mahusiano au kudumu na mtu amchukuliaye kama rafiki, mshkaji na ndugu na akiwa basi hayatakua mahusiano matamu.
.
Okay, limeshatokea nini cha kufanya?
Cha kwanza futa namba yake, kata mawasiliano naye, USIMTAFUTE kutaka kujua chanzo cha break up au amekula nini leo, mwache hata huyo aliyenae saivi akitetereka atakutafuta tu wewe. Pata muda wa kupoza moyo. Ila jitahidi hayo maumivu yasikuendeshe au watu (hasa huyo mdada) kuona kuna kitu kinakutatiza. Usitafute demu wa kulipizia kuachwa ila tafuta mwanamke kwa lengo lako..
.
Seriously, mpotezee futa kila kitu chake, hata kama ni ngumu vipi mana tayari amekuonesha alivyo, je ungependa uende naye kwenye ndoa baada ya kukuonesha alivyo?
Nimeipenda Comment yako mkuu
 
Thanks, nimechukua hii
Mkuu nashukuru, tumeruka viunzi vingi sana ndio mana tumejifunza, I learned it the hardway man, ukiwazingatia saaaaana wanawake mkuu utapiga sana maktime kwenye maswala ya pesa na maendeleo yako binafsi, wanawake wanapoteza sana focus za vijana na mambo yao ya msingi, fanya research mkuu.

Hatukatai mtu kumpenda mtu, tunachokataa sisi ni mtu kuwa mpuuzi kwa vitu ambavyo vipo obvious kabisa, kweli mtu kukaziwa mkeo panauma kweli ila fikiria process ya mpaka mtu anavua chupi anampa mtu utamu ilhali ni mke wa mtu.

Mambo mengine yanatokea na Mungu anakuonyesha uepukane na mabalaa huko mbele ila watu huwa hawsikii kabisa yani
 
Back
Top Bottom