Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?