Msaada wa kazi jamani

CPA

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
809
354
Wana jf, nina dadayangu kamaliza degree ya sociology mwaka jana. Ametafuta kaz mpaka amechoka. Mwenye link ya kazi tafadhari anijulishe.
 
Wana jf, nina dadayangu kamaliza degree ya sociology mwaka jana. Ametafuta kaz mpaka amechoka. Mwenye link ya kazi tafadhari anijulishe.

Mwambie asitafute kazi Dar tu, pamoja na miji mikubwa. Halimashauri nyingi zina kazi. Ajaribu halimashauri za Tandahimba, Kishapu, Meatu, Simanjiro, Bukombe, Nanyumbu. Pia asisahau mikoa mipya ya Geita na Njombe/njoluma. Kazi atapata tu...
 
vijana wengi wanakosa kazi kwa sababu zifuatazo:
1-wanachagua sehemu na aina ya kazi
suluhisho:aombe kazi mahali popote tena zisizo na competition kubwa(mfano zikitangazwa posts za mtwara na dar aombe ya mtwara i.e. kama ni ofisi moja)

2-Nt being agressive enough-wanafikiria ni nani anajuana na nani ili anisaidie.
suluhisho: sometime tujifunze kumtegemea Mungu na akili zetu.awe bold enough to try anything

3-Nt being creative-waajiri hawategemei kupata barua yako kuomba tu kazi,wanategemea kuona unasema utafanya nn kwa ajili yao ili kujazia kapu la kampuni na sio kuchota tu!
suluhisho:muambie aangalie makampuni ambayo yako desperate kwa wafanyakazi (with turnover kubwa),aangalie interests zao.kisha aandike ''expression of interest letters'' akiomba either volunteering,internship ama ajira.hasa makampuni yaliyoko maporini kama ruvuma,geita,mtwara etc.
kila la kheri kwake,hongera zake kwa kumaliza chuo.muambie tusiskie anaolewa hadi apate kazi,mwanamke kipato siku hizi

Wana jf, nina dadayangu kamaliza degree ya sociology mwaka jana. Ametafuta kaz mpaka amechoka. Mwenye link ya kazi tafadhari anijulishe.
 
Miaka miwili mtaani hajaghairisha mpango wa kutafuta kuwa kibarua haaa.......tena na wewe unamsaidia kumfanya awe kibarua.

Mwambie asitishe mpango mzima wa kutafuta kazi badala yake aje jukwaa la business akutane na akina millionea. Akiajiriwa atatupotezea ajira tunataka aajiri na azalishe ajira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom