grandMullah23m
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 235
- 312
Helo wanajamvi,
Msaada kidogo wa dharura. Wiki iliyopita nilijilia tunda kimasihara tu bila kutegemea kutoka kwa mwenzangu baada ya ukame mkubwa. Nilishiriki pekupeku(dah) nimejikuta na hali ya wasiwasi.
Kwenye uume unauma kwa ndani..na kutoka majimaji (nahisi sio mkojo).
Nimepima leo baada ya kukosa amani matokeo yakanikosesha raha na kuanza matibabu papohapo ya sindano.
Naombeni mnitoe tongo kidogo, ushauri pia kwa maana nilikosa Uhuru wa mahojiano ya uwazi nilivyokuwa na daktari. Vipimo ni kama nilivyoambatanisha.
Msaada kidogo wa dharura. Wiki iliyopita nilijilia tunda kimasihara tu bila kutegemea kutoka kwa mwenzangu baada ya ukame mkubwa. Nilishiriki pekupeku(dah) nimejikuta na hali ya wasiwasi.
Kwenye uume unauma kwa ndani..na kutoka majimaji (nahisi sio mkojo).
Nimepima leo baada ya kukosa amani matokeo yakanikosesha raha na kuanza matibabu papohapo ya sindano.
Naombeni mnitoe tongo kidogo, ushauri pia kwa maana nilikosa Uhuru wa mahojiano ya uwazi nilivyokuwa na daktari. Vipimo ni kama nilivyoambatanisha.